Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

81FA75D8-9C32-4765-96BA-139E5C6C49D4.jpeg
 
ANZA YOTE NA BWANA

Asante baba Mungu kwa siku mpya hii ya leo na s asante kwa ulinzi usiku huu.

Tunaomba tuianze na kuimaliza siku hii katika jina lako na mipango na shughuli zetu zikapate kibali na baraka zako.

Tusamehe dhambi zetu zote, tunaomba, kwani kama sio kwa neema yako tunastahili hukumu, ila wewe ni Mungu wa upendo hata ukamleta mwanao mpendwa Yesu Kristo kwa ajili ya ondoleo la dhambi zetu. Tunaitegemea neema hiyo kuokolewa.

Shusha Roho wako Mtakatifu tunaomba, ili atujaze mioyo yetu, maana yeye ni mwalimu, kiongozi na mfariji.

Ni katika UTATU wako Mtakatifu tunaomba, amini.
 
ANZA YOTE NA BWANA

Asante baba Mungu kwa siku mpya hii ya leo na s asante kwa ulinzi usiku huu.

Tunaomba tuianze na kuimaliza siku hii katika jina lako na mipango na shughuli zetu zikapate kibali na baraka zako.

Tusamehe dhambi zetu zote, tunaomba, kwani kama sio kwa neema yako tunastahili hukumu, ila wewe ni Mungu wa upendo hata ukamleta mwanao mpendwa Yesu Kristo kwa ajili ya ondoleo la dhambi zetu. Tunaitegemea neema hiyo kuokolewa.

Shusha Roho wako Mtakatifu tunaomba, ili atujaze mioyo yetu, maana yeye ni mwalimu, kiongozi na mfariji.

Ni katika UTATU wako Mtakatifu tunaomba, amini.
Amen
 
billdrago unakumbuka nini ukiona hapa?
Malegendary ilikuwa tunapita bila wasiwasiView attachment 1773092View attachment 1773093View attachment 1773094
Kumbe umesoma Sangu? Kuna mtoto wa mam mdogo nae alipita hapo, bas akisimulia visanga vya hapo mie hoi,

Kuna mwalim m1 wa kike jina nimesahau kidogo, huyo anasema hatamsahau had kufa kwake, anasema ni hatarii zaidi ya fire.

Sasa akiwa anasimulia mie mbavu zinaishiwa nguvu kabisaa, napatwa na hofu hadi na mie msikilizaji.
 
Kumbe umesoma Sangu? Kuna mtoto wa mam mdogo nae alipita hapo, bas akisimulia visanga vya hapo mie hoi,

Kuna mwalim m1 wa kike jina nimesahau kidogo, huyo anasema hatamsahau had kufa kwake, anasema ni hatarii zaidi ya fire.

Sasa akiwa anasimulia mie mbavu zinaishiwa nguvu kabisaa, napatwa na hofu hadi na mie msikilizaji.
Nimesoma Olevel miaka hiyoo.

Hilo geti tulikuwa tunapita kwa uzoefu tugetini pana fimbo asbh acha kabisa.

Hahaha,huyo ndugu yako amesoma shule ya kiligendary

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom