Hii ni kwa wahenga sie tu kuweza kukumbikia enzi



Akina
Noelia Nuzulati Saint Anne Chakorii Karma Heaven Sent hawawezi elewa lolote
😛😛
Ninapata Tabu Moyoni Mwangu Mimi Kwa Kweli,Nimekupenda Wewe Lakini Hunijali Mamaa, Tumekuwa Sisi Wawili Kama Sinema Hapa Nyumbani Kwetu Kila Siku Kelele, Lakini Kwa Vile Eeh, Tunaishi Hapa Kwa Wazazi Wako, Mwenye Sauti Ni Wewe, Naogopa Fedheha Mama Uni Eeh Naona Aibu Kweli Mpenzi Hapa Ni Kwa Wakwe Zangu Sisemi Lolote Fanya Upendavyo.
Lakini Kwa Vile Eeh Tunaishi Hapa Kwa Wazazi Wako Mwenye Sauti Ni Wewe Eeh , Naogopa Fedheha Mama Uni Eeeh, Naona Aibu Kweli Mpenzi, Hapa Ni Kwa Wakwe Zangu Sisemi Lolote Fanya Upendavyo.
Hata Mwezi Bado Ooh, Tangu Tuoane Eeh X2, Kelele Kila Siku Ndani Ya Nyumba Yetu Mamaa X2(Aibu),
Ninaporudi Kazini Majirani Huzima Redio Ili Wasikilize Tunavyozoza (Aibu), Wametupachika Majina Wewe Pwagu Na Mimi Pwaguzi Kwa Vile Imekuwa Ni Mazoea. Ingawa Nimekuoa Kwa Pesa Na Pendo Langu Eeh Tabia Zako Zimenishinda Aah Nasikitika.
Hata Mwezi Bado Ooh, Tangu Tuoane Eeh X2, Kelele Kila Siku Ndani Ya Nyumba Yetu Mamaa X2,
Ninaporudi Kazini Majirani Huzima Redio Ili Wasikilize Tunavyozoza, Wametupachika Majina Wewe Pwagu Na Mimi Pwaguzi Kwa Vile Imekuwa Ni Mazoea, Hajulikani Nani Mke Ndani Ya Nyumba Yetu, Hajulikani Nani Mume Aah Nasikitika.
Hata Mwezi Bado Ooh, Tangu Tuoane Eeh X2, Kelele Kila Siku Ndani Ya Nyumba Yetu Mamaaa X2
CC
Mshana Jr