herman joshua
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 1,982
- 3,248
🤣🤣🤣unaonekan unapenda sanaWatu wa aina hii, sifa yao noi kuwa nawa mtoto,
![]()
🤣🤣🤣unaonekan unapenda sanaWatu wa aina hii, sifa yao noi kuwa nawa mtoto,
![]()
Napakumbuka mafyati mishale ya saa tatu - nne usiku tukitopa plepobilldrago unakumbuka nini ukiona hapa?
Malegendary ilikuwa tunapita bila wasiwasiView attachment 1773092View attachment 1773093View attachment 1773094
Ndio
Vingekuja vimstari viwili hapo ungeweza kuvituma hapa tukashuhudia?
Hahahah tutapona mfalme wangu mungu Ni mwema
NdioVingekuja vimstari viwili hapo ungeweza kuvituma hapa tukashuhudia?
Sawa! Ila hatudanganyiki..Ndio
Sawa! Ila hatudanganyiki..

Ndiyo.
Sema kuna wahuni walikuwa wanamsukuma mwalimu,wakishamsukuma tunapita woote
Wewe watu 100 wamechelewa afu anajidai kuchapa
Nilikuwa naipendea hapo tu yaani!
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app



ila kuna wanafunzi wamepinda lol.Nisipende kitu kinachonifanya ninene kwa lugha zote 20, ambazo napaswa kunena wakati wa gwaride murua na la kukata na shoka?unaonekan unapenda sana




Laba kali na nimeielewa.
Ooh!! Umegoma kuja mwanza ningekugea pea mojaLaba kali na nimeielewa.

Wee kipendhii nakuja, mwezi wa 8 field huko, c nlkuambia uniandalie na mazingira ya makazi. Uniwekee na laba hiyo bas.Ooh!! Umegoma kuja mwanza ningekugea pea moja![]()