herman joshua
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 1,982
- 3,248
Imemeguka~KuvunjikaMimi naona kwa msaada wa miwani,bahati mbaya imemeguka.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Kumbe unayo!Imemeguka~Kuvunjika
Pole, utatumia yangu![]()
Jamani Saint Anne nimekwambia nina uoni hafifu, kwani huwezi kusoma kwa niaba ya Mimi Babu yako? 😜😜😜
Mwee babu nimesema miwani imepasukaJamani Saint Anne nimekwambia nina uoni hafifu, kwani huwezi kusoma kwa niaba ya Mimi Babu yako?
Utafanya nikulipie Ada urudi tena Dodoma ukaendelee kubukua![]()



Kama hujapata miwani sema nikuibie ya Bibi yako, ni miwani ya tangu vita ya Kagera bado ipo tu 😅🙈🏃🏻Mwee babu nimesema miwani imepasuka
Si unaona picha ya juu pale nipo clinic napima tena macho.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Itabidi nitumie dawa zangu za kuongeza mwili kuchangamka, vinginevyo hiyo Fita nitapigwa dakika ya pili tu ya mchezo 🙈Kufwa hukufwi ila cha motto lazima ukione babu penshen
Lens yangu si ya kitotoKama hujapata miwani sema nikuibie ya Bibi yako, ni miwani ya tangu vita ya Kagera bado ipo tu![]()






Thubutuuuuh wee sikimbiagi walimu mie.




Kitu ya manyo safi sanaSafari na mzikiView attachment 1772512
NarudiUkienda ama ukirudi?