herman joshua
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 2,303
- 3,987
Imemeguka~KuvunjikaMimi naona kwa msaada wa miwani,bahati mbaya imemeguka.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Kumbe unayo!Imemeguka~Kuvunjika
Pole, utatumia yangu [emoji85][emoji1322]
Jamani Saint Anne nimekwambia nina uoni hafifu, kwani huwezi kusoma kwa niaba ya Mimi Babu yako? 😜😜😜
Mwee babu nimesema miwani imepasuka[emoji23][emoji23][emoji23]Jamani Saint Anne nimekwambia nina uoni hafifu, kwani huwezi kusoma kwa niaba ya Mimi Babu yako? [emoji12][emoji12][emoji12]
Utafanya nikulipie Ada urudi tena Dodoma ukaendelee kubukua [emoji23][emoji87][emoji1322]
Kama hujapata miwani sema nikuibie ya Bibi yako, ni miwani ya tangu vita ya Kagera bado ipo tu 😅🙈🏃🏻Mwee babu nimesema miwani imepasuka[emoji23][emoji23][emoji23]
Si unaona picha ya juu pale nipo clinic napima tena macho.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Itabidi nitumie dawa zangu za kuongeza mwili kuchangamka, vinginevyo hiyo Fita nitapigwa dakika ya pili tu ya mchezo 🙈Kufwa hukufwi ila cha motto lazima ukione babu penshen
Lens yangu si ya kitoto[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama hujapata miwani sema nikuibie ya Bibi yako, ni miwani ya tangu vita ya Kagera bado ipo tu [emoji28][emoji85][emoji1322]
Thubutuuuuh wee sikimbiagi walimu mie. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi utakimbia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Kitu ya manyo safi sanaSafari na mzikiView attachment 1772512
NarudiUkienda ama ukirudi?