Kashaija72
JF-Expert Member
- May 18, 2020
- 2,522
- 5,576
Duuuh. Hivi donlucchese Mshana Jr Tanzania Kuna nyumba za kwenda kushoot Kama shabaha?
Huwa naziona kwenye movie za marekani, watu wanaenda kulenga shabaha na kutoa stress
Duuuh. Hivi donlucchese Mshana Jr Tanzania Kuna nyumba za kwenda kushoot Kama shabaha?
Moja ya nguzo katika imani (dini)yangu.Hapana mkuu, mm sijafunga. Naomba nikuulize kwann unafunga?
Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app



Viazi kuwa mboga, umenikumbusha enzi za chuo. Daaah Kuna washikaji walitengeneza mchanganyiko wa Viazi, mayai, pilipili Kali, pilipili manga, hoho, tangawizi, n.k wakaupa jina la mkuu wa chuo. Hiyo mboga Kama sio mzoefu wa pilipili ilikuwa haimezeki.
Hapo lazma ushuzi uwe hatari! 🤣 🤣 🤣Viazi kuwa mboga, umenikumbusha enzi za chuo. Daaah Kuna washikaji walitengeneza mchanganyiko wa Viazi, mayai, pilipili Kali, pilipili manga, hoho, tangawizi, n.k wakaupa jina la mkuu wa chuo. Hiyo mboga Kama sio mzoefu wa pilipili ilikuwa haimezeki.
Niliwahi kuisoma hii kesi enzi hizo nakariri Sheria ili nisipate sup, mwisho nikaipata. Daaah Mambo ya precedent cases.Carlill v Carbolic Smoke Ball Company
![]()



Hahahaha we acha mkuu, law of contract.Niliwahi kuisoma hii kesi enzi hizo nakariri Sheria ili nisipate sup, mwisho nikaipata. Daaah Mambo ya precedent cases.
Mkuu hizi dini mm zilikitoka muda mrefu sana...now am non believerMoja ya nguzo katika imani (dini)yangu.

Aiseee sawa mkuuMkuu hizi dini mm zilikitoka muda mrefu sana...now am non believer
Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
Mimi ni mpenzi wa chai!🙃🙃🙃Vile tunaburudisha mdomo wakati tunasubiri usiku ufike tupike.
Wapenzi wa maparachichi karibuni tutafune.
View attachment 1761635
Ndugu yangu uko peace sana,najifunza tabia njema kutoka kwako mkuu.🙏🙏🙏ndugu yangu Behaviourist popote ulipo wewe ni ndugu wa faida , uzidi kubarikiwa mkuu
uzuri wewe ndo umenifundisha , ntazidi kujifunza ....keep it up mkuu sio kila mtu anaweza kuwa na moyo kama wakoNdugu yangu uko peace sana,najifunza tabia njema kutoka kwako mkuu.🙏🙏🙏
Duuuh. Hivi donlucchese Mshana Jr Tanzania Kuna nyumba za kwenda kushoot Kama shabaha?
Huwa naziona kwenye movie za marekani, watu wanaenda kulenga shabaha na kutoa stress



zipo kama zoteChai hadi usikuMimi ni mpenzi wa chai!![]()
