Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,666
Usidanganyike Rafiki...Makiseo nakukisia kuwa chura ipo japo nimesikia uliloongea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usidanganyike Rafiki...Makiseo nakukisia kuwa chura ipo japo nimesikia uliloongea.
Wewe wamekusingizia asubuhi kweupeYaani huyo kazidi aisee! Mimi kupiga kelele kote huku naambiwa napita kama robot mwee nasingiziwa mimi!
Mpenzi anakwama wapi sasa Karma? Au mkwamo upi tunaozungumzia...
Ndiyo mie nimeona acha nifanye maisha yangu sitaki kuja kumtesa mtoto wa mtu
Sasa tuassume tayari una mpenzi lakini pia una marafiki wengine ambao unaweza ukawahitaji pale ambapo mpenzi wako atakuwa amekwama mahali! Wote hao utawapa?
Vile nakuona moyoni unasema Makiseo usidanganyike na mzee wa chura!😄😄😄
Hii picha huwa inanichekesha😀
Leo naona mkono umefungua lock ya ku type, comment zako nadra sana tunazitafuta kwa

Matukio..!? Sole matoleo..Aaah i mean matokeoKGR vs SSCView attachment 1759419

Mikwamo ya aina nyingi tuMpenzi anakwama wapi sasa Karma? Au mkwamo upi tunaozungumzia...
Najiuliza tu, hivi unawezaje bila mupenzi...
Huyu mbona kama anafanana na Supika