Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,633
- 38,733
Mbona mimi nipo decent ila huko piemu kuna vumbii balaaa...hata njia ya kwenda huko nishasahauSiyo mimi wala wewe tu! Wengi wanamkubali kwa sababu wanadhani yuko hivo kumbe mweee fikajapo na fimo!
Si unajua wanawake wengi JF wanapenda wale wanaume ambao wanaonekana wako very decent kwa sababu kwenye dunia ya sasa wamebaki wachache na wanahesabika! Binafsi nilishaanza hadi kumpongeza aliyenaye kuwa ana bahati!







