Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,380
- 56,078
Kabisa kakaTunatofautiana sana mdogo wangu, ndio binadamu tulivyo...
Kabisa kakaTunatofautiana sana mdogo wangu, ndio binadamu tulivyo...
My Rais hakuwa binadamu?Usinikimbie mimi sijawahi kuwa adui wa binadamu.
Huyu alivyokujaga kilokole yaani utasema si yeye wa Sasa.Ely hivi na wewe ni type ya kina naniliu? Maana kuna comments zako kuhusiana na hayo mambo zinaonesha na weye ni wale wale au nimekosea?
Kuna muda unaonekanaga muaminifu saaanaaa tena saaanaaa yaani haunaga hayo mambo ila kumbe mmhh! Na wewe unaonekana si haba aiseee!
Dah hii duniaNilitaka nikusupport na heel, sasa kila nikicrop kapicha najikuta mlonjo ndiyo unajaa kwenye screen mweeeh![]()












Kuna tu aliweka kenge kisha akatupia kifutu..
Chief nikakwambia ushaniharibia siku huku shambani ninakoelekea ma vifutu ni mengi..
Leo jamaa wanafyeka wameua vifutu wawili..
Nakupa ofa uje uchukue bureeee
View attachment 1752783View attachment 1752784View attachment 1752785View attachment 1752786



donluccheseHaki ya Mama tenaSema hakyamama...
DuhAh hao mie sijawahi kuwaamini kwa kweli yaani watengeneze miguu ya bia wakati wengi wao wanatembelea miwa ya nyongeza? Kwamba wao hiyo miguu ya bia hawaitaki?















Yesu wangu mimi jamaniHii kweli ningeweka, na kamlonjo kangeonekana kidogo sana. Picha kama hii haina tatizo













Yaani! Anyway ya Ngoswe tumuachie Ngoswe mwenyewe mama!Huyu alivyokujaga kilokole yaani utasema si yeye wa Sasa.
Aiseee inaonyesha kiwembe mnoYaani! Anyway ya Ngoswe tumuachie Ngoswe mwenyewe mama!






Dada kwa visingizio
Yesu atazitangulia hizo picha wallahi![]()
![]()
Yaani bora tumsubiri Yesu kwanza halafu ndiyo tusubiri picha za HS! Hizo picha kweli ni Heaven Sent yaani siku atayoshuka Yesu toka mbinguni ndiyo picha za HS zitafuatia nyuma yake!
Dah hii dunia![]()



Weee usiniambie
Nasikia siku Bwana Yesu akisema anakuja na picha zako zitamfuata nyuma![]()
Dunia ina mengi sana hiiNyinyi wawili, siku nikiweka picha yangu, mjiandae kutoka JF. Mna imani haba sana na mimi![]()














Heaven SentNyinyi wawili, siku nikiweka picha yangu, mjiandae kutoka JF. Mna imani haba sana na mimi![]()
Hahaaaaaa... Seriously mnaweza kuzaa huku mnavuta sigara!!Mwaya huyo mwenzio hayuko serious anakuzingua tu anapenda matani. Mzoee usimchukulie serious.
Ni mwanaume ila hajaoa kazi kutusumbua tu mama zake humu JF tunaoweza kumzaa huku tunavuta sigara![]()
![]()