Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi nimechanganya makabila, afu bi mkubwa ana mguu wa bia; sielewi ilikuwaje nikarithi huu mlonjo wa baba khaaa. Yaani kamlonjo kalivyo karefu, kila nikijipinda kukacrop sijui kuzoom out ndiyo kanaishia kujaa kwa screen, kiatu hakionekani. Ngoja niendelee kupambana
Pambana nakusuria hapa HS.
Shida si heel ionekane...zoom kidogo tu.

Hebu niletee huo mguu wa bia wa mama.ukiweka niite
 
Kuna tu aliweka kenge kisha akatupia kifutu..

Chief nikakwambia ushaniharibia siku huku shambani ninakoelekea ma vifutu ni mengi..

Leo jamaa wanafyeka wameua vifutu wawili..

Nakupa ofa uje uchukue bureeee
View attachment 1752783View attachment 1752784View attachment 1752785
IMG_20210415_150342.jpg
 
Haki Morogoro ni kubwa kuliko Tanzania.jamani nilikaa kwenye gari kutoka dar to moro Town..moro Town mpka ifakara,ifakara tu mlimba.mlimba tu ndani ndani huko..jamani jamani waaaahiii uvumilivu ukanishinda ikabidi nimuulize jirani yangu “samahani dada eti tunaenda mbinguni”kha!!
Morogoro ndani ndani huko kama barabara ni mbovu aise ni bora kusubiri jua liwake barabara ichangamke kwanza maana...

Sasa ngoja nikuchekeshe siku hiyo akati narudi mvua ilikuwa inanyesha niko kwenye boda natoka kijijini huko kwenda mlimba stand nikastuka boda anapunguza mwendo nikamuuliza Chief Vipi mbona umepunguza mwendo?akasema dada kuna mteremko na utelezi mkali hatua chache ..hapo mvua imekata kama dk 10 kumbukahata kabla sijamaliza kutafakari itakuwaje...nikajikuta niko chini na udongo ulivyo wa mfinyanzi...loh hapo Naendelea kuserereka tu usisahau niko juu ya kilima...napiga jicho kushoto na kulia simuon boda wala boda yenyewe

Ikabidi sasa nitumie mbinu za kivita na za kimkakati kuzuia kuserereka,kibegi kipo juu juu kama antena (jamani...)
Nikanasa,niko katikati ya giza totoro kumi na moja kasoro hiyo katikati ya mlima ikabidi nimuombe boda nae atumie mbinu za kivita ili asiendelee kuserereka akaniacha mwenyewe kilimani wooooiii namkuta chini kule amekula tope matata sana hakuna wa kumpa mwenzie lawama.ilibidi kubadilisha nguo nilipofika standna huo ndo ulikuwa utalii wangu wa ndani..khooooo

Tuondelee kuomba uzima na afya tutakuja kuonana nao tu.

Huwa sifurahishwi na watu kugombana gombana aise..kama mmeelewana ni vyema kabisa binafsi ninalifurahia hilo..ona jinsi ilivyovyema na kupendeza...ndugu wakae pamoja kwa umoja.
Morogoro ni mpana umbali kutoka centre kwenda huko mahenge huko si mchezo, ukizingatia barabara halina lami ni tabu tupu..
Ila kuivuka moro kutokea pwani kwenda dom ni dk 0 tu.
 
Back
Top Bottom