Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Namba yake nilichukua na tayari nilishaga mwandikisha na yeye kwenye idadi ya walio wahi kupiga kura kwenye daftari la kudumu

Nilimuacha/tuliachana tu pindi/siku tuliyopiga kura ila ni mpigaji kura mzuri kweli kweli maana hakutaka rushwa ili aibe kura
Ely hivi na wewe ni type ya kina naniliu? Maana kuna comments zako kuhusiana na hayo mambo zinaonesha na weye ni wale wale au nimekosea?

Kuna muda unaonekanaga muaminifu saaanaaa tena saaanaaa yaani haunaga hayo mambo ila kumbe mmhh! Na wewe unaonekana si haba aiseee!
 
Nilitaka nikusupport na heel, sasa kila nikicrop kapicha najikuta mlonjo ndiyo unajaa kwenye screen mweeeh
Usinidanganye basi...watu wa huko mnamiguu sana hata wakati mwingine ninafananishwa na watu mbeya na sio Kilimanjaro loh.

Sissy fanya namna unisapoti bhana.
I zoom out,I screenshot ndipo uicrop
 
Hapana mimi binafsi sijafurahishwa kabisa! Kaka wa watu katoa mahari kafuata taratibu zote kakuoa pilau tukala na kwaito tukacheza halafu leo hii unamkana mumeo unasema haujaolewa kweli?

Hivi unataka tuliokuozesha tuweke wapi sura zetu lakini? Imeniuma sana kwa kweli!
Tatizo mme wangu Lizzy hanifikishi kileleni.
 
Usinidanganye basi...watu wa huko mnamiguu sana hata wakati mwingine ninafananishwa na watu mbeya na sio Kilimanjaro loh.

Sissy fanya namna unisapoti bhana.
I zoom out,I screenshot ndipo uicrop
Mimi nimechanganya makabila, afu bi mkubwa ana mguu wa bia; sielewi ilikuwaje nikarithi huu mlonjo wa baba khaaa. Yaani kamlonjo kalivyo karefu, kila nikijipinda kukacrop sijui kuzoom out ndiyo kanaishia kujaa kwa screen, kiatu hakionekani. Ngoja niendelee kupambana
 
Back
Top Bottom