herman joshua
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 1,982
- 3,248
Sema hao wadudu hawanaga tabu na mtu, mpaka wamukudhuru utakuwa umewachokoza pamwishoKuna tu aliweka kenge kisha akatupia kifutu..
Chief nikakwambia ushaniharibia siku huku shambani ninakoelekea ma vifutu ni mengi..
Leo jamaa wanafyeka wameua vifutu wawili..
Nakupa ofa uje uchukue bureeee
View attachment 1752783View attachment 1752784View attachment 1752785View attachment 1752786
All in all nyoka ni nyoka tu



