Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

We vuka utanikuta kwa danny
FBD204F5-E75D-4FAB-A144-F285662D28F2.jpeg
 
Haniwezi huyo kipenzi changu..

Ohoooo yani nafeel the love..yeuyeeewww[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]nakuzawadia mabusu leo mtu chake wangu
Hivi huyu mtu chake anavyobebishwaga hivi halafu eti bado kutwa analalamika mademu wa JF hawamkubali

Sijawahi kuona Chakorii anambebisha mwanaume mwingine humu JF kama anavyombebisha huyu na anambebisha yeye peke yake tofauti na wanawake wengine ambao wanabebisha kila mwanaume
 
Hivi huyu mtu chake anavyobebishwaga hivi halafu eti bado kutwa analalamika mademu wa JF hawamkubali

Sijawahi kuona Chakorii anambebisha mwanaume mwingine humu JF kama anavyombebisha huyu na anambebisha yeye peke yake tofauti na wanawake wengine ambao wanabebisha kila mwanaume
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dota!
 
Rafiki yangu Mnyaki alifariki masikini. Rest in peace Magreth. I will always carry your memory na nikija kubahatika kupata mtoto wa kike nitampa jina lako. Wanyaki mna roho nzuri sana [emoji1545][emoji1545]
Mno yaani[emoji4]

Aendelee kupumzika kwa amani,kuishi ni kristo na kufa ni faida,siku moja tutaonana Kwa Baba.
Pole sana..

Bado marafiki wazuri tupo[emoji4]
 
Back
Top Bottom