Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,415
- 27,296
Sawaa MkuuNikitaka kuja nitakuambia hapahapa
Wala usijali
ila chunga sana wanyaki sio watu wazuri kabisaa
Sawaa MkuuNikitaka kuja nitakuambia hapahapa
Wala usijali
Imeisha hiyo Chief 🥂Agiza chochote ndotoni nitalipa ukiamka😆
Naona umestuka...Imeisha hiyo Chief 🥂
Kweli kabisa...Maneno ya busara. Tuko hapa kucheka na kusocialize tu. Don't take things personal and sometimes you have to roll with the punches as if you are Floyd Mayweather japo mtu akizidi sana pia rukhsa kumsuta na kumchana. Ni lazima pia kuwa strong hasa kwa jamii yetu hii yenye dharau kwa wanawake....na kuwa careful kutozoeana na watu kupita kiasi hovyo hovyo. JF ya sasa hii imejaa boys na wengi wao hata hawajui maisha haya yakoje so kuumiza mabinti kwao kawaida tu...
Sasa ndo nataka kulala kina shughuli nilikuwa nafanya.ninalala 2hours tukijaaliwa uzima saa kumi natakiwa kuwa nimeshaamka..Naona umestuka...
Vipi uliagiza nini Niongee na Goblin wakulipie...
Anyway Nakukubali Mtu wa watu my apologies for Bad language ya mchana😉
Duuh pole sana Arifu.. Ningependa kujipa majukumu ya kukuamsha😆Japo sijakizi viwango Vya TBSSasa ndo nataka kulala kina shughuli nilikuwa nafanya.ninalala 2hours tukijaaliwa uzima saa kumi natakiwa kuwa nimeshaamka..
😅😅sijaagiza kwakuwa sinalala Chief.
Hey!!mwamba mbona ilishaishaga kitambo mnoo...ngoja nikwambie kuhusu mimi,,napenda kuwa na amani na kufurahi mda mwingi sana.so ukiona kitu kimekaa moyoni kwangu muda mrefu basi jua ni kikubwa..
Btw ukishaona hizi 🥂🥂 nimekugongea basi ndo ujue View attachment 1662541
😊😊🥂🥂🥂..Duuh pole sana Arifu.. Ningependa kujipa majukumu ya kukuamsha😆Japo sijakizi viwango Vya TBS
Now uagize sasa🥂
sipendi mambo yaishe kijuba huwa napenda yaishe kiungwana...,
But yote ni mema🥂🥂🥂
Uwe na usiku mwema Na njozi Njema Mungu unayemuamin akulinde usiku huu♥️
Amen😊😊🥂🥂🥂..
Asante kwa kujali..Mwenyezi Mungu ataniamsha mapema tu nikisindikizwa na alarm.asante kwa mara nyingine tena.
Shukrani mkuu nawe usiku mwema na Mungu akulinde na kukutunza pia👏👏
Thanks mkuu.great picture bro
Salama umeamkaje??Habari ya asubuhi nyote
Ni poa sanaSalama umeamkaje??
Hahahahahaha....una maanisha kuwa miguu midogo mpaka mkubwa siyo?Mh! Hii miguu kwenye picha ya kwanza inaweza kuwa
na upaja wa hivi? December fools' dayView attachment 1662514View attachment 1662516
Mmmh... Ngoja nikazisake tu
Njema/salama kabisa mkuuHabari ya asubuhi nyote
Kuna watu wanafaidi jamaniWee Ngosha taratibu mambo yako lol.
Wee umeona mpaja, badala ya vidole khaaah.
Hebu tuliza akili bhanaah, usiwaze vibaya.
Hahaha....mwanaume anaweza kuwa na mpaja mweupe na mlaini kiasi hicho mkuu Ubinadamu Kwanza ?Ni mpaja wa mwanamke au dume huo? Kaa chonjo Msukuma utakuja kula hata vilivyo haramu. Najua Wasukuma mkiona hiyo rangi ya mtume basi akili zinakata. Be careful !!!![]()


Ushaanza visanga sasa ..
Hebu acha hizo Habari love unanisikitisha ujue..inaonekana una moyo mkubwa kwa kuhifadhi hizi purukushani..hebu tupa kule mambo meusi...hivi unajua maisha ya furaha na amani yanavyokuwaga matraaaam eee eheeeacha kuwa mkiwa bila sababu.napenda kuona watu wako na furaha mda wote
Haya m’babe wangu ukuje online kama kawaida upatapo muda sawa eee..eheee maisha yenyewe mafupi haya leo tupo kesho hatupo
Hivi uliniambia unakunywaga gongo eeEhee tukijaaliwa uzima na afya nataka nikakuleweshe mpka uzime mwaka mpya...unaonaje linah wangu.
Yani ni fulu kuzima tu hakuna namna
Nakupenda pia linahbaby wangu mzuri mzuri.kesho nitakununulia aisikilimu sawa ee...eheee
![]()

Tumefanyaje wanyaki jamani?Sawaa Mkuu
ila chunga sana wanyaki sio watu wazuri kabisaa