Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
hey,hey kwani kuna tatizo loloteNaunga mkono hoja na ukitaka ugombane na bibie mguse MTU cha wenyewe
Nb:Ni utani
hey,hey kwani kuna tatizo loloteNaunga mkono hoja na ukitaka ugombane na bibie mguse MTU cha wenyewe
Nb:Ni utani
Ya kweli hayo eti wanyaki wanajua kupenda na kujali?Eeeh hapo sawa kabisa
Namshukuru Mungu niko salama kabisa
Sent from my SM-P601 using JamiiForums mobile app
Jaribu kumfwatilia.Namsikia, sijawahi kufuatilia mambo yake. Ndio yeye anakuwaga Tanganyika Packers?
Hapana!Jaribu kumfwatilia.
Ndiyo
Kwetu ni MbinguniDunia sio yetu kiaje wakati tupo duniani? Ni ya nani hii dunia?
Nani kakuambia kwetu ni mbinguni na kwa nini iwe wachache tu watakaokwenda?
Oh sawaHapana!
..yeye anachukua shilingi ngapi sadaka?Oh sawa
Si lazima kumfwatilia lakini ni Muhimu.
Nakushauri ukipata muda mfwatilie hutajuta, Mungu ameachilia vitu vingi sana kwake.
Ukipata nafasi ya kumfwatilia muulize Hilo swali...yeye anachukua shilingi ngapi sadaka?
Usipate wasiwasi dota, nimekubaliana na hoja kwamba wanyaki ni watu poa sana. Now I need kufanya confirmation tu, how?![]()




Nimeuliza tu kujua Anne na hujanijibu ujuwe.Ukipata nafasi ya kumfwatilia muulize Hilo swali.
BTW sijawahi ona mtu akilazimishwa kutoa sadaka.
Mimi nitoe kwenye tuhuma hizo sitaki kuja kuambiwa ng'ombe
...wewe na watu wako




Si ndo hapo sasa.....wewe na watu wako![]()
Ewaaaa! Wewe na watu wako!Si ndo hapo sasa..
Kwa mfano wew na watu wako
😅😅ngoja niishie kucheka.Mimi nitoe kwenye tuhuma hizo sitaki kuja kuambiwa ng'ombe
Mbona nimekujibu!Nimeuliza tu kujua Anne na hujanijibu ujuwe.
Eeheee wewe na watu wako kwa mfanoEwaaaa! Wewe na watu wako!
Mwee kwani kuna nini? Hayo ya ng'ombe yametoka wapi tena?Mimi nitoe kwenye tuhuma hizo sitaki kuja kuambiwa ng'ombe