Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Hajawapendelea,ni kweli wana roho nzuri na wachaMungu..mfano mzuri baba yetu Mwal Mwakaseghe ChristopherUmewapendelea wanyakianyway, rip your best friend!
Hajawapendelea,ni kweli wana roho nzuri na wachaMungu..mfano mzuri baba yetu Mwal Mwakaseghe ChristopherUmewapendelea wanyakianyway, rip your best friend!
Kufa sio kawaida, don't make a wrong look right. Kufa is a disaster to humankind.Mno yaani
Aendelee kulumzika kwa amani,kuishi ni kristo na kufa ni kawaida,siku moja tutaonana Kwa Baba.
Pole sana..
Bado marafiki wazuri tupo![]()
Tayari umeanza mambo yako we mtoto, baba yenu tena!Hajawapendelea,ni kweli wana roho nzuri na wachaMungu..mfano mzuri baba yetu Mwal Mwakaseghe Christopher
Na wanyaki wote tuseme AMENRafiki yangu Mnyaki alifariki masikini. Rest in peace Magreth. I will always carry your memory na nikija kubahatika kupata mtoto wa kike nitampa jina lako. Wanyaki mna roho nzuri sana![]()
Kwangu mimi ni kawaida,sijui kwako.Kufa sio kawaida, don't make a wrong look right. Kufa is a disaster to humankind.
NdiyoTayari umeanza mambo yako we mtoto, baba yenu tena!
Umewapendelea wanyakianyway, rip your best friend!




Kwani unajaribu kusema nini labda
Kwa sababu yako dota nakubaliana na hoja yake
Ndiyo sifa yetu hiyo hatujapendelewa



Namsikia, sijawahi kufuatilia mambo yake. Ndio yeye anakuwaga Tanganyika Packers?Ndiyo
Kwani humfahamu?
Naunga mkono hoja na ukitaka ugombane na bibie mguse MTU cha wenyewe
Ndiyo mkuuHivi mkuu kila siku huwa unakula Vyakula vya kununua eenh
Kwangu mimi ni kawaida,sijui kwako.
Hii dunia si yetu na lazima tutakufa..kwetu ni Mbinguni na hakuna namna tutafika pasi na kupitia hiyo hatua..
Wapo wachache watakaobahatika kufika Mbinguni pasi na kupitia kifo.
Kweli kabisaNaunga mkono hoja na ukitaka ugombane na bibie mguse MTU cha wenyewe
Nb:Ni utani
Usipate wasiwasi dota, nimekubaliana na hoja kwamba wanyaki ni watu poa sana. Now I need kufanya confirmation tu, how?
Mmhh nimepata wasiwasi



Sasa waweza vipi kumudu gharama za kununua milo mitatu kila sikuNdiyo mkuu
Nilipika kuku nikaambiwa nimezidisha maji/mchuzi
Sijawahi kupika tena(sijui kupika)