Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,870
Unipe sasaNafungu la kumi![]()
Unipe sasaNafungu la kumi![]()
Auntie haya makopo yote unayapaka au mengine unaniletea?


Hahhahah nayapaka sio unaona kuna cantu hizo kwa ajili ya nywele tu si unajua auntie yako niko na natural hairAuntie haya makopo yote unayapaka au mengine unaniletea?
Turudi kwa picha sasa, au basi ngoja ninyamaze handsome gelo wangu![]()
Jirani bhana 😁😁Nipe mimi nitakukula na nitakaa kimya muumini wangu, wakina nani wambea hivyo muwataje basi tuwaweke kati
Mama Muinjili yote yako hayo?
Mama Muinjili yote yako hayo?



Mmeanza hivi mama mchungaji huoni kuna cantu hapo kuna body sprash, body spray na takataka nyingine
Usiogope bwana kawaida tu



manukatoWewe huusiki kipenzi changu rafikiHahahaha, duh
Njoo nikupulizie kiduchu hahahmanukato
TulaleNjoo nikupulizie kiduchu hahah
Mmeanza hivi mama mchungaji huoni kuna cantu hapo kuna body sprash, body spray na takataka nyingine
Unaweza ukaanza kulia afu ukiulizwa na watoto, mama unalilia nini unaanza kujichekesha teh





Hahahahaha mama mchungaji niacheMimi nina babycare hiyo napaka mwilini hadi kichwani na ndiyo naitumia kama lip balm pia, labda na makopo yaliyoisha
HayaTulale
Nami napakaa cantu mwilini, niletee tu. Hayo ya nywele baki nayo tu.Hahhahah nayapaka sio unaona kuna cantu hizo kwa ajili ya nywele tu si unajua auntie yako niko na natural hair