Ohoo kwa zile comments zake mama hauwezi kuamini kama ndiyo mswahili hivyo! Anaonekana mstaarabu ndiyo maana ni rahisi sana mtu kumuamini!
Unajua kuna mtu mwingine kutokana na comments zake tu hauwezi kukubali kuchat naye hata pm yaani hautataka mazoea naye kabisa! Ila yule aise sikutegemea!
Teh teh halafu nasikia amewahi kumkula! Huyo ndugu yako naye kumbe mhuni tu bahati yake tu hayuko kwenye ile list ya yale mafurushi ya MMU na hajulikani sana humu!