Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli yaani ilibaki kidogo nikutupie lawama wewe sababu nilihisi na wewe uliziona zile status ukamgundua kuwa ni yeye ukaziiba
Dah ona sasa haya matatizo yanatuaffect wengi.
Si ajabu kuna watu wameninunia humu sababu ya hayohayo na mimi sijui[emoji23][emoji23]
Bora wewe rafiki yangu uliniuliza,Sasa wengine wameninunia kimyakimya dah maisha haya[emoji1787]
 
Ila ukimchunguza mwandiko wake kwa kina lazima ugundue kitu.niamini
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nakipata sana mamkubwa
Sijui kimepotelea wapi siku hizi haki kile Kikosi nimekimiss sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kipoooo bado wapo baadhi. Juzi Weekend kuna uzi mmoja ulitrend hapa JF wa Mdada mmoja wa Mjini waliushambulia ule uzi balaa..Nilicheka mno.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah ona sasa haya matatizo yanatuaffect wengi.
Si ajabu kuna watu wameninunia humu sababu ya hayohayo na mimi sijui[emoji23][emoji23]
Bora wewe rafiki yangu uliniuliza,Sasa wengine wameninunia kimyakimya dah maisha haya[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…