Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,406
Kwani unajiona mzima sasa![]()
Aiseee mimi bia zangu pendwa ni Safari na Balimi yaani hauniambii kitu! Ila cha ajabu watu wananishangaa wananiambia eti nakunywa vitu vizito wakati mie naziona tamu na za kawaida tu!

Makiseo miss you mama.
Have a blessed night.
Oooh aisee kwahiyo mkuu ulipiga ile nguna yote ukaomba na nchembo?? Kumbe si haba uko vizuri😀😀 mi mzima Ely za Rock city?Ukimaliza kula ugali halafu usishibe ukamwomba mhudumu ukuongezee ugali mwingine(bila kuulipia yaani akuongezee ugali wa bure)
Ule ugali ndo huwa tunaita nchembo(kisukuma)
Kwema lakini mkuu financial services
Sent from my SM-G955N using JamiiForums mobile app
Nijikute tuKamooo. Miye hujanihamu?







Si ajabu hata pombe hunywi wewe![]()




Huyo pambama nae, mie kanishinda.
Abee ndiyo huwa inanoga zaidi mtumishi. Hii Rabheka hii tuwaachie wenyeweRabheka



Abee ndiyo huwa inanoga zaidi mtumishi. Hii Rabheka hii tuwaachie wenyewe![]()
Huyo pambama nae, mie kanishinda.