Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,814
- 51,467
Heeeeeh dea, yaaan mambo n mengi mda mchache, bas najibana tyuuuh ivo,Chukua tu mdogo wangu.eti ni nini kumekupata..mbona umekuwa adimu kama jasho la nywele hivyo..
Nilikumiss mno ujue..umeshamsalimu daddy wako
Mic u moaaah.
Nakuja
Haki nimeshindwa kupata usingizi..ikabidi niingie jikoni..nilihisi roho inakata hiviuzalendo umeishia hapa kwenye sahani
karibuni mduduView attachment 1644195






Nafurahi kusikia hivyoo 💕 wangu...Heeeeeh dea, yaaan mambo n mengi mda mchache, bas najibana tyuuuh ivo,
Mie mwenyew nmekumiss had naumwa,
Huyo daddy alivokua bizzy lol, nkajua nae yupo songea kweny lindo la kupinga al- shaabab huko mitomoni.
Fanya chap kwa haraka 💕Nakuja
Mzee naona emoji inahamishwa tu pakuwekwa 😄
Wait!
Mtuache na tambo zetu 😁😁😌
TanteeeeeeeeerhFanya chap kwa haraka![]()
ndio mzee...nimekuudhi au kukukera niombe radhi mkuuMzee naona emoji inahamishwa tu pakuwekwa![]()
Si ajabu hata pombe hunywi wewe![]()
Aiseee mimi bia zangu pendwa ni Safari na Balimi yaani hauniambii kitu! Ila cha ajabu watu wananishangaa wananiambia eti nakunywa vitu vizito wakati mie naziona tamu na za kawaida tu!



