Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Haojue
20201207_141635.jpg


Sent from my SM-G955N using JamiiForums mobile app
 
Chukua tu mdogo wangu.eti ni nini kumekupata..mbona umekuwa adimu kama jasho la nywele hivyo..

Nilikumiss mno ujue..umeshamsalimu daddy wako
Heeeeeh dea, yaaan mambo n mengi mda mchache, bas najibana tyuuuh ivo,
Mie mwenyew nmekumiss had naumwa,
Huyo daddy alivokua bizzy lol, nkajua nae yupo songea kweny lindo la kupinga al- shaabab huko mitomoni.
 
Heeeeeh dea, yaaan mambo n mengi mda mchache, bas najibana tyuuuh ivo,
Mie mwenyew nmekumiss had naumwa,
Huyo daddy alivokua bizzy lol, nkajua nae yupo songea kweny lindo la kupinga al- shaabab huko mitomoni.
Nafurahi kusikia hivyoo 💕 wangu...

Daddy wako yuko ubuzy kiaina na hata sijui anazingukia wapi 😅😅

mtu chake unaitwa huku
 
Back
Top Bottom