Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Haojue
20201207_141635.jpg


Sent from my SM-G955N using JamiiForums mobile app
 
Chukua tu mdogo wangu.eti ni nini kumekupata..mbona umekuwa adimu kama jasho la nywele hivyo..

Nilikumiss mno ujue..umeshamsalimu daddy wako
Heeeeeh dea, yaaan mambo n mengi mda mchache, bas najibana tyuuuh ivo,
Mie mwenyew nmekumiss had naumwa,
Huyo daddy alivokua bizzy lol, nkajua nae yupo songea kweny lindo la kupinga al- shaabab huko mitomoni.
 
Heeeeeh dea, yaaan mambo n mengi mda mchache, bas najibana tyuuuh ivo,
Mie mwenyew nmekumiss had naumwa,
Huyo daddy alivokua bizzy lol, nkajua nae yupo songea kweny lindo la kupinga al- shaabab huko mitomoni.
Nafurahi kusikia hivyoo 💕 wangu...

Daddy wako yuko ubuzy kiaina na hata sijui anazingukia wapi 😅😅

mtu chake unaitwa huku
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aiseee mimi bia zangu pendwa ni Safari na Balimi yaani hauniambii kitu! Ila cha ajabu watu wananishangaa wananiambia eti nakunywa vitu vizito wakati mie naziona tamu na za kawaida tu!
Si ajabu hata pombe hunywi wewe [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom