Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Hapana nakusifia 🤪🤪Unanisimanga eti
Hapana nakusifia 🤪🤪Unanisimanga eti
Hebu niambie nikutafutie mtoto mmoja matata sana wa kukusaidia huko uzeeni kipenzi changu rafikHahahaha, nazeeka pekee yangu Rafiki kipenzi
Kwani ni mabaya jirani yangu🤪🤪Nacheka kama mazuri
Fanya fanya na wewe uzeeke na huyu mtoto..unaniangusha sana ujueOngeza kijiko,nakuja
Ahaaa kumbeee basi sawaSio fomu za vyama vya siasa nooo ni fomu za wachangiaji... Tuache hiyo nimeshatoka huko usiku tulivuu sahivi
Eti ni kweli kipenzi changu rafiki huingiliki kirahisi
Punguza kula ugali ticha..utajakabwa.halafu unaniuzi unakula vitu konki sanaaa🤪🤪
Uwiiiii shenzy we binti 🤪🤪🤪wallahi umenizidi.🤣
Uwiiiii shenzy we bintiwallahi umenizidi.
Mwaka 2017 marafiki zangu walinilazimisha bhana ninywe hiyo pombembili tu sikujua nilifikajenyumbani ila nilijikuta nimelala ndani na mlango nimeufunga safi kabisa.
sijawahi rudia tena
![]()







![]()
Aiseee mimi bia zangu pendwa ni Safari na Balimi yaani hauniambii kitu! Ila cha ajabu watu wananishangaa wananiambia eti nakunywa vitu vizito wakati mie naziona tamu na za kawaida tu!
Kristo mfufuko...wewe si wa inchi hii hakyamama tena
Balimi imenitoa udenda
Kudadek! Balimi? Aisee mwanamke anaekunywa hii bia ana uwezo wa kumbebesha mimba mwanamme😀
Same here, mi nilishindwa kulenga ufunguo kwenye kitasa nikalala zangu kibalazani na ufunguo mkononi.. Niliamka nahisi kichwa kina mawe kwa ndani😀😀Uwiiiii shenzy we binti 🤪🤪🤪wallahi umenizidi.🤣
Mwaka 2017 marafiki zangu walinilazimisha bhana ninywe hiyo pombe 🤪🤪mbili tu sikujua nilifikajenyumbani ila nilijikuta nimelala ndani na mlango nimeufunga safi kabisa.🙌🙌sijawahi rudia tena 😁😁
KrbuOngeza kijiko,nakuja