Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
A big AMEN
Shalom Tanzania
Ubarikiwe na Bwana
Nakutakia amani![]()
Shalom Tanzania
Ubarikiwe na Bwana
Nakutakia amani![]()
Hii shindikana sio ya nchi hii. Labda Eli79 atawezana nae.
Inipiteje?
Weka bwana.Kama vinavyokupitaga vingine
Eeh ndo sitaki sasa.Weka bwana.
Khaaah!!Eeh ndo sitaki sasa.View attachment 1645394
Hapana mkuu wala usiwazendio mzee...nimekuudhi au kukukera niombe radhi mkuu
Maparachichi yanatia uvivu kununua hovyo huku mjini maana bei si haba alafu kukutana na mabaya rahisi sanaMpaka niende sokoni nikachague....
Ukienda Moshi usiache kutuma picha humu na sie tutakaokosa rokoo tujione kama vile tupo home![]()
Ehhh, kuna zile parachichi za rombo parachichi kubwa mithili ya papai, usikonde nitatuma pichamwenzio nilikuwa kazini ila you are right....panafaa sana kwa mapumziko kama yale unayopanga kuyaendea Zenji!!
![]()





Zenji mwaka mpya itanikuta kule 

Mi nipo Sumbawanga mkuu, karibu sanaaYeah!!..nilimaliza ila sikutosheka nikaomba na nchembo.
Rock city kwema/salama kabisa mkuu
Wewe uko wapi mkuu financial services
Sent from my SM-G955N using JamiiForums mobile app
ipo siku nitakamilisha picha yako Mkuu... hapa nimeshaona mwili na Lips😅
Endelea kujitahidi Chief..kesho nitaweka pua.lakini usiamini picha zote ninazoziweka huku ni mimi loh🤪🤪ipo siku nitakamilisha picha yako Mkuu... hapa nimeshaona mwili na Lips😅
😅😅weka macho pua tutabunu tuu😋Endelea kujitahidi Chief..kesho nitaweka pua.lakini usiamini picha zote ninazoziweka huku ni mimi loh🤪🤪
Macho ndo kila kitu naanzaje kutokuweka sasa..😅😅weka macho pua tutabunu tuu😋