Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
😅😅😅😅🙌🙌🙌kwako Chief aiseh pole na hongera pia..Same here, mi nilishindwa kulenga ufunguo kwenye kitasa nikalala zangu kibalazani na ufunguo mkononi.. Niliamka nahisi kichwa kina mawe kwa ndani😀😀
Najaribu kuwaza kwa kina wale marafiki zangu walitaka kuniua ama nini maana ndo bia ya kwanza chungu kuanza kuikunywa










