Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Same here, mi nilishindwa kulenga ufunguo kwenye kitasa nikalala zangu kibalazani na ufunguo mkononi.. Niliamka nahisi kichwa kina mawe kwa ndani😀😀
😅😅😅😅🙌🙌🙌kwako Chief aiseh pole na hongera pia..

Najaribu kuwaza kwa kina wale marafiki zangu walitaka kuniua ama nini maana ndo bia ya kwanza chungu kuanza kuikunywa
 
IMG-20200928-WA0010.jpg
 
Uwiiiii shenzy we binti wallahi umenizidi.

Mwaka 2017 marafiki zangu walinilazimisha bhana ninywe hiyo pombe mbili tu sikujua nilifikajenyumbani ila nilijikuta nimelala ndani na mlango nimeufunga safi kabisa.sijawahi rudia tena
Hukukuta mabadiriko yoyote yale ya kimwili?

Sent from my SM-G955N using JamiiForums mobile app
 
Ulikuwa hujitambui(muda wa shetani kufanya kazi yake na kusingiziwa/kutupiwa lawama)

Au walikuwa marafiki zako wa kike?

Sent from my SM-G955N using JamiiForums mobile app
Chizi kabisa wewe eti nini😅😅😅😅😅
Ishu ni kwamba sikuwa na kumbukumbu nilipanda usafiri gani ukanifikisha home.nilijikuta niko nyumbani salama salimini

Walikuwa ni wafanyakazi wenzangu wakike kwa waume😅😅😅

Ulishawahi kung’ang’anizwa kitu na marafiki zako ambao wanapiga masanga😁😁😁ni kizai zai aiseh asikwambie mtu🤪🤪
 
Back
Top Bottom