Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Waache wenzio
Waache wenzio
Hahahaha ,Rafiki adhabu gani tena hy ?
Uko kigamboni sehemu gani rafiki kipenziHahahaha
Si ndo hapo sasa😅😅Halafu alivyo sasa,hafananii na kunywa balimi![]()
Nisharudi mjini,nilikua hapo kwa Dany sijui wanaitaUko kigamboni sehemu gani rafiki kipenzi
Za mimi njema/salama kabisa mpendwaNzuri kabisa, za wewe mpendwa?
Nije wapi
Hahahaha, kibuti tena Rafiki kipenzi ,haikua rasmi Sana Rafiki yangu kipenzirafiki yangu kipenzi kabisa wewe si wakunifanyia hivi...
Haivumiliki hii nakulima kibuti..yani ulikuwepo kwa Danny![]()
Kwakweli umenisikitisha rafiki yangu kipenzi...kweli ohooo jizazi kweli 😓😓Hahahaha, kibuti tena Rafiki kipenzi ,haikua rasmi Sana Rafiki yangu kipenzi
Hahahaha, Rafiki sio kweli bana ,mie niko mbali Sana na DarKwakweli umenisikitisha rafiki yangu kipenzi...kweli ohooo jizazi kweli
Basi naomba ninune kidogo
Kwani Rafiki kipenzi ningekuita ungekuja?km ningekua hapo ?Kwakweli umenisikitisha rafiki yangu kipenzi...kweli ohooo jizazi kweli
Basi naomba ninune kidogo
Ndo nini sasa kutiana presha kipenzi wewe loh...🤪🤪🤪muoneHahahaha, Rafiki sio kweli bana ,mie niko mbali Sana na Dar
Hahahaha, sorry kwa usumbufu Rafiki kipenziNdo nini sasa kutiana presha kipenzi wewe loh...muone
Ingetegemea kama siku hiyo ningekuwepo kigamboni..basi kwa taaaabu sana ningekuja😜😜😜Kwani Rafiki kipenzi ningekuita ungekuja?km ningekua hapo ?
HahahahaIngetegemea kama siku hiyo ningekuwepo kigamboni..basi kwa taaaabu sana ningekuja![]()
Ukimuona usoni mtaratibu SanaSi ndo hapo sasa![]()



