Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

EB3CA008-97D3-45C9-907E-71271CC4223E.jpeg
 
Chizi kabisa wewe eti nini[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Ishu ni kwamba sikuwa na kumbukumbu nilipanda usafiri gani ukanifikisha home.nilijikuta niko nyumbani salama salimini

Walikuwa ni wafanyakazi wenzangu wakike kwa waume[emoji28][emoji28][emoji28]

Ulishawahi kung’ang’anizwa kitu na marafiki zako ambao wanapiga masanga[emoji16][emoji16][emoji16]ni kizai zai aiseh asikwambie mtu[emoji2957][emoji2957]
Ningekuwa mimi ndo mfanyakazi mwenzio ulivyokuwa umelewa na hujitambui ningejaribu kupima hata oil[emoji1][emoji1]

Natania tu ndugu yangu mzuri

Sent from my SM-G955N using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom