Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Usinitie presha basi kipenzi changu rafiki..Niko kigamboni Leo ujue ,hahahaha
Na mbona hukuniambia tangu jana??uje uchukue adhabu yako ndani ya nusu saa iko jikoni inakaribia kuiva..
Usinitie presha basi kipenzi changu rafiki..Niko kigamboni Leo ujue ,hahahaha
Nitakuzibua vitasa we msukuma..wapi nimeandika sikujitambua...muone kwanzaNingekuwa mimi ndo mfanyakazi mwenzio ulivyokuwa umelewa na hujitambui ningejaribu kupima hata oil
Natania tu ndugu yangu mzuri
Sent from my SM-G955N using JamiiForums mobile app
Marahaba jiraniSijambo shikamoo jirani
😊😊😊Marahaba jirani
Kabisa jirani, namshukuru Mungu
Umeamka salama lkni
Mbona nina kazi mimi na huyu mdogo angu jamani![]()
Aiseee mimi bia zangu pendwa ni Safari na Balimi yaani hauniambii kitu! Ila cha ajabu watu wananishangaa wananiambia eti nakunywa vitu vizito wakati mie naziona tamu na za kawaida tu!
Hahahaha ,Rafiki adhabu gani tena hy ?Usinitie presha basi kipenzi changu rafiki..
Na mbona hukuniambia tangu jana??uje uchukue adhabu yako ndani ya nusu saa iko jikoni inakaribia kuiva..
HahahahaHuyu mtu chake namzoom tuanamswali ya kujibu kuhusiana na vinukta pendwa vyake akimaliza kujibu nitahamia “Kwanini anapenda kukazia snaa
”
Hahahaha
Nimsalimie nani![]()
Halafu alivyo sasa,hafananii na kunywa balimi

Hahaha...kumbe hukuwa na kumbukumbu.Nitakuzibua vitasa we msukuma..wapi nimeandika sikujitambua...muone kwanza
muoneni huyu jamani we ulisikia wapi binadamu akapimwa oil ee ulisikia wapi?
Naona umejihami kabisaungekula kinazi cha fasta fasta ukate moto
![]()
Halafu alivyo sasa,hafananii na kunywa balimi![]()