financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 18,139
- 43,362
Nakupaisha kwa ukweli dear, rangi haijifichi 😀 una rangi ya papai lililoiva,fanta dah mna majina mengiiUnanipaisha
Nakupaisha kwa ukweli dear, rangi haijifichi 😀 una rangi ya papai lililoiva,fanta dah mna majina mengiiUnanipaisha
Huo mstari wa kwanza baadhi ya maneno umeandika kinyakyusa nini![]()
Bro, hatimaye naona umejiripua tu liwalo na liwe. Safi sana bro japo sijaona mabonge ya [Au] hapo pembeni



Sawa mkuuHahhah lugha ya mifupa tu hiyo ki- latin cha kawaida kwenye anatomy...
Mimi huyu Apa


Mimi pia nimekumiss mnoBasi tu nimekumiss sana
Njoo nikufundishe
Yaaaah tunapamban na assignments tyuuuh now. Miss u moaahThank you dear, umeadimika ndiyo chuo kimefunguliwa ama??
Naomb kidog dea jomoneeeeeh
Daaaah cc, mamb mengi mnooh had nakosa mda wa ku join humu, ila kwa saiv ntajitahidi kuwepo.




Chukua tu mdogo wangu.eti ni nini kumekupata..mbona umekuwa adimu kama jasho la nywele hivyo..Naomb kidog dea jomoneeeeeh
Huyu si mdogo wangu saint Anne
Umebaki kuwa mshabiki, ni vizuri kukubali matokeoSawa sawa


am kidding dont take it seriously 


