Wa kienyejiView attachment 1543925
Huo ugali ule unaitwa "nguna"
Jamani swali la kizushi?
Kama wazungu wanavyobishana nchi gani kaanzisha cheese(jibini) au chips(vihepe)
Kwa Africa nchi gani ilianzisha ugali???
sababu nimekutana na wazambia, wazimbabwe, wasouth, wakenya na ............
wote wanajua ugali
Ugali - Wikipedia







