Gunther Schwagermann
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 7,347
- 17,671
Mi mpole bana nataka kutawaliwa afu sisepagi.Hahaha sijui kama umenielewa mkuu! Mimi kiuhalisia siyo kauzu wala mbabe ila humu ndiyo huwa nafake ukauzu na ubabe ili tu nisisumbuliwe pm!
Sababu najua wanaume wengi wa kiafrika mnapenda wanawake wapole na wanyenyekevu ili muwatawale vizuri! Wababe huwa mnapiga na kusepa tu!




