Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,818
- 233,249
Mimi nilikuwa hata sijuiHahaha bora hilo
Wine nzuri tena inapendwa .





Nikashangaa watu wananiambia habari za wine
Mimi nilikuwa hata sijuiHahaha bora hilo
Wine nzuri tena inapendwa .





Sijui kwanini sipendi kutumia majina mazuri mazuri. Nafikiri labda kwa sababu hata jina langu halisi ni baya ndiyo maana hata nickname yangu napenda iwe mbaya pia.

Huwa inakera hasa unapochangia watu wakihoji jinsia yako , sure I totally agree with you kuna id ukiwa nayo pm utasumbuliwa mno wakati natumia Aurora ilikuwa shida kumbe kuna pornographic actress anaitwa Aurora Jolie .
Criteria gani huwa unai consider ukichagua majina .Sijui kwanini sipendi kutumia majina mazuri mazuri. Nafikiri labda kwa sababu hata jina langu halisi ni baya ndiyo maana hata nickname yangu napenda iwe mbaya pia.
Duuh unaona sasa! Mimi id ya Marianah plus ile avatar niliyoweka ya Ariana Grande watu walikuwa wanajazana pm utasema wameitwa vile yaani watu sijui kwanini wanapenda kufanya imaginations za uongo kupitia hizi ids na avatars za uongo tu!






Hahaha kwa hiyo hauna plan ya kubadili id tena ?Yaani alinihudumia vizuri ila Mimi mwenyewe nilijihisi vibaya kumsumbua..
Unadhani nina mpango wa kumtafuta tena!?!?
Lile jina ni baya?![]()
nini sasa
Yaani imagine imeisha wiki tu unaenda tena kwa MeloHahaha kwa hiyo hauna plan ya kubadili id tena ?
Nafikiri hupendi kusumbua watu ndo maana ulijihisi hivyo .


Niko poa hofu kwakooMorning dear![]()
Criteria gani huwa unai consider ukichagua majina .
No way I bet your name is lovely .
Lile jina ni baya?
Mtu anafikiri ni wewe kabisa kumbe sio picha zenyewe za kudownloadDuuh unaona sasa! Mimi id ya Marianah plus ile avatar niliyoweka ya Ariana Grande watu walikuwa wanajazana pm utasema wameitwa vile yaani watu sijui kwanini wanapenda kufanya imaginations za uongo kupitia hizi ids na avatars za uongo tu!
Mimi namshukuru MunguNiko poa hofu kwakoo
Hamna watu wengi sidhani kama alikumbuka .Yaani imagine imeisha wiki tu unaenda tena kwa Melo
Sijui alinionaje![]()
yah..sureHamna watu wengi sidhani kama alikumbuka .
Kurithi si tatizoSanaaa! Halafu la kurithi sasa dah!
Nishakaribiaaa nilipamis humu sana ..nafurahii kukaribishwaa tena na weweMimi namshukuru Mungu
Karibu tuselfike