Bmichy68
JF-Expert Member
- Sep 3, 2018
- 834
- 1,181
Hongera Sana kwa kupata mama Bora anayesimamia watoto wake kwenye maswal ya kielimu, hope na ww upo hivohivo kwa watoto wako.Alikuwa mwalimu.
Siku hizi anacheza tu na wajukuu nyumbani.
Ameninyooshaga sana mama yangu,alikuwa haangaalii ulast born wala nini..ikifika kusoma na kuandika anafinya masikio balaa.
Ana mwandiko mzuri sijapata kuona.



nice
