ismail hassan
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 696
- 1,629
nimepitia cjaona kitu aseeBasi hiyo siku nimeandika hiyo comment,juu ya hiyo comment niliweka picha zangu nyingi tu kama huamini pitia comments jirani na hiyo
Sema hauko active kwenda na kasi ya picha hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app





Tulikumiss piaNishakaribiaaa nilipamis humu sana ..nafurahii kukaribishwaa tena na wewe

#66397nimepitia cjaona kitu asee![]()
ShukraniiTulikumiss pia![]()
Sindikizia na kaselfieShukranii

Mtu anafikiri ni wewe kabisa kumbe sio picha zenyewe za kudownload
Nahisi ni fikra tu mtu akiona ke ameweka avatar ya mwanamke mzuri anajiaminisha kuwa huyu ke lazima awe mzuri , wakati kiuhalisia sio kabisa .
Kurithi si tatizo
#66397
Kuanzia hapo kuna picha zangu kibao niliweka





unakoelekea nitaanza kuwaambia ukweli hao unaowadanganya kuwa picha zako umeweka kule juu kwenye hizo comments unazozisema, hebu acha kupotosha wenzio.unakoelekea nitaanza kuwaambia ukweli hao unaowadanganya kuwa picha zako umeweka kule juu kwenye hizo comments unazozisema, hebu acha kupotosha wenzio.







aiseeeMbona zuri hilo jinaMh kwangu ni tatizo
aiseee
Wewe unifanyie hivyo?



sasa kwanini wewe unataka wenzio waoneshe sura zao wakati wewe hata kidole chako hautaki kuweka, we ngoja nitaanza kuwafuata pm mmoja mmoja nawaambia unawadanganya. 

Ngoja nije huko PM napenda wanawake makauzu na wababe ka wewe.Tulia dogo!
Nataka watu waendelee kuniona kauzu washindwe hadi kuja pm kama kipindi kile maana naona kuna watu siku hizi wameanza mazoea mabaya na mimi!
Mbona zuri hilo jina
Ila miaka ya zamani kupewa jina ndugu ilikuwa kama desturi
Mimi niliitwa la mamdogo wangu la kilugha ila huwa ananiita mamdogo mwenyewe
Ngoja nije huko PM napenda wanawake makauzu na wababe ka wewe.
Ngumu sana kuficha identity, sijui unawezaje lakini muda mwingi mwandiko wa mtu unaweza kutoa taswira halisi ya jinsi alivyo. Imagine mtu yupo jf tangu 2010, anaweza kufake lakini kuna mahali tu atashindwa.Hahaha sijui kama umenielewa mkuu! Mimi kiuhalisia siyo kauzu wala mbabe ila humu ndiyo huwa nafake ukauzu na ubabe ili tu nisisumbuliwe pm!
Sababu najua wanaume wengi wa kiafrika mnapenda wanawake wapole na wanyenyekevu ili muwatawale vizuri! Wababe huwa mnapiga na kusepa tu!
Jamanisasa kwanini wewe unataka wenzio waoneshe sura zao wakati wewe hata kidole chako hautaki kuweka, we ngoja nitaanza kuwafuata pm mmoja mmoja nawaambia unawadanganya.
![]()




..Selfie mkuu au sio imebidi nieke hyo sura hapana aiseeUtuwekee na kaselfie sasa
Embu na ya kwako mkuuSindikizia na kaselfie![]()