Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hata ka ist tu nitashukuru rafiki
Mam nakupenda moaah, zawadi yako hii inaendana na thamani yako kwangu.
FB_IMG_15970441737316888.jpg
 
Hahaha I think you have a point here dad, basi ndiyo maana hata mimi siku hizi nimeacha yale masuala ya kuanzisha mada za mbalansisho kati ya me na ke na kubishana na wanaume kuhusu hayo masuala.

Nafikiri ule haukuwa uhalisia wangu bali nilikuwa nafake ili nami nionekane niko vizuri kwenye mambo ya feminism, nimejitahidi sana kufake na nilijua nitafika mbali ila matokeo yake sijamaliza hata mwaka humu JF nimejikuta nimerudi kwenye uhalisia wangu na watu wengi sasa ndiyo wameanza kunijua the real me.
Bahati mbaya wengine wanakufahamu kwa taswira ya mwanzo kabisa, ukiwatajia Zoë wanajua ni yule dada feminist .
 
eti wanajua ni yule dada feminist, anyway i bet with time they’ll understand.

real feminists neither rest nor quit, so i couldn’t have done any of those if i were one.
Hata wasipoelewa.
Siyo lazima kila mtu akakuelewa rafiki yangu..
Mbona wengi tu tunakuelewa !
Wasiokuelewa wana matatizo yao huko
 
Hata wasipoelewa.
Siyo lazima kila mtu akakuelewa rafiki yangu..
Mbona wengi tu tunakuelewa !
Wasiokuelewa wana matatizo yao huko



Mwee naona tufunge tu sasa huu mjadala maana naona tangu jana watu wananiquote kuhusu personality yangu najikuta najielezea hadi nachoka

Hata mie siwazi wala siwalaumu wananionaje au wanasema nini kuhusu mimi they’re all entitled to their own opinions and i’m totally okay with that

Let’s keep having fun aye
 
Back
Top Bottom