Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yaani nimecheka kama kichaaa
Hivi kuna watu huwa wanachukulia serious kila kitu??!!!!

Ohoooo yaani JF inatakiwa ujichunge sana unachoandika kuna wanasaikolojia humu wanajua kumsoma kila mtu kutokana na anachoandika. Ndiyo wale wazee wa kuleta personal attacks sijui oh una stress sijui wewe single mother mara kimeenda kimerudi kimepanda kimeshuka mtu anajikuta anakujua kumbe anaropoka tu!

Sijui ila nilisikia eti humu watu ndiyo huandika ule uhalisia wao yaani yale yaliyo mioyoni mwao kwa sababu ya hizi fake ids! Waii mimi niko tofauti sana aise siwezi kuonesha uhalisia wangu 100% humu yaani mie JF nafake kuanzia identity hadi personality mtu anaweza akadhani ananijua kumbe anajua kile ambacho mimi ndiyo nimetaka ajue!

Ofcourse kuna mengine tunaongea humu ni ya ukweli. Ila huwa tunaongea yale ambayo ni common na hata mtu akiyajua haina shida.

Tena huwa tunaongea yale ambayo hayatoi clues mtu kukujua personality yako kiundani zaidi! Anyways acha waendelee tu na saikolojia zao!
 
Alikuwa mwalimu.
Siku hizi anacheza tu na wajukuu nyumbani.

Ameninyooshaga sana mama yangu,alikuwa haangaalii ulast born wala nini..ikifika kusoma na kuandika anafinya masikio balaa.
Ana mwandiko mzuri sijapata kuona.

Aisee hongera zake. Na huo ndiyo ualimu sasa.
 
Back
Top Bottom