Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Naam. Ungo airways mafuta ushuzi wako tu.

Hiyo inaitwa jamba upae. Kwa mtu kama mimi niliyezoea kula maharage kila siku siwezi kuishiwa mafuta angani hivyo nina uhakika wa kufika salama.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kichaa ww[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
 
I mean Uhuru[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii keyboard inataka kunifunga
Jizazi[emoji2092][emoji2092][emoji2092][emoji2092][emoji2092][emoji2092]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mambo ya tecno hayo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kichaa ww[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] i hope hamna aliyechukulia serious maana humu JF watu hamchelewi, maisha yenyewe mafupi haya tukiwa serious muda wote tutakata moto bure.
 
Acha tu
Tekno wereva hizi[emoji16]
Inaweza kudharirisha mbele za watu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]pole Sana Mkuu [emoji119][emoji119]
255693809648_status_3fbc2a9a5b704f42aec69f948aad8d5a.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] i hope hamna aliyechukulia serious maana humu JF watu hamchelewi, maisha yenyewe mafupi haya tukiwa serious muda wote tutakata moto bure.
Yaani nimecheka kama kichaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Hivi kuna watu huwa wanachukulia serious kila kitu??!!!!
 
Wow! Kumbe your mom ni mwalimu? [emoji7][emoji7] [emoji847][emoji847]
Alikuwa mwalimu.
Siku hizi anacheza tu na wajukuu nyumbani.

Ameninyooshaga sana mama yangu,alikuwa haangaalii ulast born wala nini..ikifika kusoma na kuandika anafinya masikio balaa.
Ana mwandiko mzuri sijapata kuona.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] unakuja kushituka unakuta umeachana na mpenzi wako wa sasa na umemuomba msamaha ex wako mmerudiana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom