Bmichy68
JF-Expert Member
- Sep 3, 2018
- 834
- 1,181
Mkiwa wote itakuwa poa sana, yeye anaitwa madam nan?Ndiyo tunaanza hivyo
Au nikupe mwalimu wangu aliyenifundisha mimi??
Mkiwa wote itakuwa poa sana, yeye anaitwa madam nan?Ndiyo tunaanza hivyo
Au nikupe mwalimu wangu aliyenifundisha mimi??
Naam. Ungo airways mafuta ushuzi wako tu.
Hiyo inaitwa jamba upae. Kwa mtu kama mimi niliyezoea kula maharage kila siku siwezi kuishiwa mafuta angani hivyo nina uhakika wa kufika salama.




















I mean Uhuru
Hii keyboard inataka kunifunga
Jizazi![]()




Mambo ya tecno hayo






Madam mamaMkiwa wote itakuwa poa sana, yeye anaitwa madam nan?






Acha tuMambo ya tecno hayo
![]()

Madam mama
My mom
Ila ni mkali huyo balaa![]()



Usijal mm ni mpole Sana, Kwahyo na yy atakuwa mpole Kama mm tuu
Kichaa ww![]()





i hope hamna aliyechukulia serious maana humu JF watu hamchelewi, maisha yenyewe mafupi haya tukiwa serious muda wote tutakata moto bure.Acha tu
Tekno wereva hizi
Inaweza kudharirisha mbele za watu



pole Sana Mkuu 
Madam mama
My mom
Ila ni mkali huyo balaa![]()



Ohooo

Yaani nimecheka kama kichaaai hope hamna aliyechukulia serious maana humu JF watu hamchelewi, maisha yenyewe mafupi haya tukiwa serious muda wote tutakata moto bure.














VizuriUsijal mm ni mpole Sana, Kwahyo na yy atakuwa mpole Kama mm tuu






unakuja kushituka unakuta umeachana na mpenzi wako wa sasa na umemuomba msamaha ex wako mmerudianaUsijal utaikuta, naona ttzo ni network
Alikuwa mwalimu.Wow! Kumbe your mom ni mwalimu?![]()
![]()
unakuja kushituka unakuta umeachana na mpenzi wako wa sasa na umemuomba msamaha ex wako mmerudiana











Yes tayar madam tuanze basVizuri
Hopefully umeshatafuta daftari tuanze



Haya ni matatizo ya kukaa vijijini ndanindani hukuUsijal utaikuta, naona ttzo ni network

SawaYes tayar madam tuanze bas![]()