Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,494
Huu uzi huwa nauona ona tu, ngoja tuishi humu kwanza!
Karibu kiongozi
Huu uzi huwa nauona ona tu, ngoja tuishi humu kwanza!
Babuuh hii ndinga yako au? Mmmmmh
Wapi sasa dea jomoneeeh?
Sasa yale mavitu ya ajabu unapata raha gani kuyaangalia?





Una characters kama za mdogo wangu kabisa.
Naam...!!! T 1990 ELYrukia
HujamboNaam...!!! T 1990 ELY
Niliangalia kidogo halafu nikakufikiria nikajikuta nacheka kwa sauti
Zinanichangamsha akili tu



Maisha yangu hayonyoo watu tuna matatizo hadi kwenye kope
Wakati wengine maisha yenu vitonga tu stress free


Niliangalia kidogo halafu nikakufikiria nikajikuta nacheka kwa sauti
Bahati yako hukupatikana.



dah sasa ulikuwa unacheka niniWa kiume au wa kike?
Hapo we ni yupi?
Acha tuSpeak your mind.
Teh teh!Mama J kama Mama J![]()
Wa kike. Yuko kidato cha 5
Tutasubiri