Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hiyo Toyota bwana we si mzee wa BMW 😅
Woyoooooooh , lift baas dea lol
Hivi zile BMW zenye body kama carina TI ni series ipi? Kuna moja juzi kati niliona body ni kama Carina kabisa ila ina charter ya BMW mbele, nyuma na kwenye tairi

BMW ambayo hainichanganyi ni X series. Kuna siku nikaiona X6 aisee ile body tu kwanza macho yangu yalifarijika humo ndani sijui.... Wenye hela zao na wazitumie tu hakiii wivu sina ila macho yangu yanapataga tabu sana 🙌
 
Hiyo Toyota bwana we si mzee wa BMW

Hivi zile BMW zenye body kama carina TI ni series ipi? Kuna moja juzi kati niliona body ni kama Carina kabisa ila ina charter ya BMW mbele, nyuma na kwenye tairi

BMW ambayo hainichanganyi ni X series. Kuna siku nikaiona X6 aisee ile body tu kwanza macho yangu yalifarijika humo ndani sijui.... Wenye hela zao na wazitumie tu hakiii wivu sina ila macho yangu yanapataga tabu sana
X6 nikiona tyuuuh imepaki sehem lazima nitake kumjua muhusika, sijui huwa nawaza nn lol,
Nashukuru fulan ake ana ndinga niipendayo wala sipati tabu mie, .
Ila wee nipe lift bhanaaah dea mmmh,
 
Hiyo Toyota bwana we si mzee wa BMW

Hivi zile BMW zenye body kama carina TI ni series ipi? Kuna moja juzi kati niliona body ni kama Carina kabisa ila ina charter ya BMW mbele, nyuma na kwenye tairi

BMW ambayo hainichanganyi ni X series. Kuna siku nikaiona X6 aisee ile body tu kwanza macho yangu yalifarijika humo ndani sijui.... Wenye hela zao na wazitumie tu hakiii wivu sina ila macho yangu yanapataga tabu sana

Mimi V8 na TX huwa zinanivutia sana! Kuanzia body hadi milio yao yaani hata nikiwa nimetulia sehemu nikisikia tu mlio wa V8 au TX lazima nigeuze shingo niisindikize na macho hadi itakapoishia!
 
Back
Top Bottom