Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,251
- 90,445
Sauti ya NNE nipoMwaya Saint Anne sisi tuendelee zetu imba kwaya
Sauti ya NNE nipoMwaya Saint Anne sisi tuendelee zetu imba kwaya
AiseeeMwaya Saint Anne sisi tuendelee zetu imba kwaya




Vizuri.mwandiko wako unaonyesha wewe si msumbufu na hupendi makuu rafiki.Ahsante sana,nishakaribia, mm sio msumbufu lkn
Hebu acha mambo yako rafiki..Sauti ya NNE nipo
Hahahaha, kuna sauti ya nane?Hebu acha mambo yako rafiki..
Mi nilijua utaniambia sauti ya nane kumbe ya nne!! Sasa itakuwaje na mimi sauti yangu ndo ya nne
Imawezekana ipo lakini sina uhakika😎😎😎Hahahaha, kuna sauti ya nane?
Mungu wangu wa mbinguni akubariki SanaOoooh ahsanteeh san dea, ntafanya hivyoooh.


Acha mambo ya ajabu basimi mwenyew nimecopy nikaja pesti hapa..loh




huhuhuh sasa unajua maan yake hko ulikopost.Hii ndo stand mpya ya Dom?







Mbeya hii ,Mwanjelwa?/au
Woooooow dea ake,





Weee uko km mie, mwenzio nna PC yaan haina movie hat ya kudanganishia, ina vitu vingne tyuuh, mbaya zaid ina game la PS4 bas mie mwenyewe sijui wanachezaje, lol
Sas kuna mtu anashnda nalo hilo game naishia kumuangalia mie hat sielew chochoteushamba mzigo
Mie PC angu folders alitengeneza ma broh, kwahiyo kaweka vitu vingne ambavyo hat mie mwenyewe sina hobby navyo, achilia kujua,
Yaan PC ina vitu vingi hadi sio poa wakati mie mwenyew hat sina mambo mengi, ushamba mzigo kwa kweli![]()
itabidi unihamishie na kwangu mie hizo kwaya, nianze kuimba, kuabudu na kusifu.
Wazo zuri
Anza kudownload wimbo mmoja mmoja.
Ukikaa bila kazi download worship song moja na uisikilize.. I'm sure hutabaki kama ulivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ooooh ahsanteeh san dea, ntafanya hivyoooh.