Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,494
Teh teh!
My dear ukinionea huyo baba J plsss salamu zangu mfikishie.
Mbona yupo kule kwenye uzi wa kuunda familia? Halafu sijakuona kule aisee!
Teh teh!
My dear ukinionea huyo baba J plsss salamu zangu mfikishie.
Ila we dada hua mzuri.. Kila picha yako nayoiangukia najikuta nakubaliana na ufundi wa muumba
Mzee wa FursaTutasubiri
Kwanini unimiss kimoyomoyo na nipo hapa? Mimi mzima kabisa.. Hofu kwako..Rafiki yangu na mie nakusalimia...
Huwa nakumiss Kimoyomoyo!!
Leo nimebahatika kabla ya kufutwa..
Mbona yupo kule kwenye uzi wa kuunda familia? Halafu sijakuona kule aisee!
Mie namjua huyo mzee mwenzangu

Kwa kweli...usiifute..
Kweli aisee,niliadimika kiasi ila ni kwamba ulimisiwa mno...Kwanini unimiss kimoyomoyo na nipo hapa? Mimi mzima kabisa.. Hofu kwako..
Nilikumiss zaidi Rafiki yangu..Kweli aisee,niliadimika kiasi ila ni kwamba ulimisiwa mno...
Mda huu mzuri kuweka picha pipo wako busy !!!Dada mzuri utapitwa huku Makiseo
Ule uzi hata sikuuelewa since uko na page 1....Mwambie me na J tunamsalimia akimaliza kuzurura arudi nyumbani![]()



ngoja nikamuambie ila nikisutwa itabidi tu uje uniokoe aisee