Kitu Kabwe....😅😅😅😅
Melanin

Huko mimi mwenyeji!
Ile namba yangu ya mpesa si unayo?Nilijuwa tu![]()
Sasa yale mavitu ya ajabu unapata raha gani kuyaangalia?basi siweki, nimeambiwa eti vitu ninavyovipenda mimi ni vile ambavyo vinapendwa na kueleweka sana na wanaume sasa sijui wanataka kusemaje labda.
No wonder wanawake wenzangu nikiwaambia kuhusu masuala ya avengers wananishangaa wanasema eti hizo movie hawazielewi. Haki ya nani mnanifanya nijione nina matatizo.
Muha anataka kupigana?!

basi siweki, nimeambiwa eti vitu ninavyovipenda mimi ni vile ambavyo vinapendwa na kueleweka sana na wanaume sasa sijui wanataka kusemaje labda.
No wonder wanawake wenzangu nikiwaambia kuhusu masuala ya avengers wananishangaa wanasema eti hizo movie hawazielewi. Haki ya nani mnanifanya nijione nina matatizo.
Marahabaaa! Hujambo?Msukuma pozi la kioga/heshima/nidhamu iliyotukuka
Jael mambo
Mwanakulitafuta...Mabinti katili nyinyi. Mnavyonifanyia siyo poa kabisa![]()
Weeee Mzeee!!!!Guu guu wallahi dah![]()
Eti Migombani MilimaniKumbe eeeh!?
Nakusanya notisi ili nije nikufanyie saikolojiko analisisi. Lazima nijue chimbuko la "ukatili" wako kwa watu wema kama mimi; na kama kuna lo lote linaloweza kufanyika. Watu wa migombani milimani siyo wakatili hivi wallahi![]()









nyoo watu tuna matatizo hadi kwenye kope