Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Rarebit



1596587582135.png
 
basi siweki, nimeambiwa eti vitu ninavyovipenda mimi ni vile ambavyo vinapendwa na kueleweka sana na wanaume sasa sijui wanataka kusemaje labda.

No wonder wanawake wenzangu nikiwaambia kuhusu masuala ya avengers wananishangaa wanasema eti hizo movie hawazielewi. Haki ya nani mnanifanya nijione nina matatizo.
Sasa yale mavitu ya ajabu unapata raha gani kuyaangalia?
 
Una characters kama za mdogo wangu kabisa.
basi siweki, nimeambiwa eti vitu ninavyovipenda mimi ni vile ambavyo vinapendwa na kueleweka sana na wanaume sasa sijui wanataka kusemaje labda.

No wonder wanawake wenzangu nikiwaambia kuhusu masuala ya avengers wananishangaa wanasema eti hizo movie hawazielewi. Haki ya nani mnanifanya nijione nina matatizo.
 
Back
Top Bottom