Kitu Kabwe....😅😅😅😅
Melanin [emoji3590]
Huko mimi mwenyeji!
Ile namba yangu ya mpesa si unayo?Nilijuwa tu [emoji16][emoji16][emoji16]
Sasa yale mavitu ya ajabu unapata raha gani kuyaangalia?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] basi siweki, nimeambiwa eti vitu ninavyovipenda mimi ni vile ambavyo vinapendwa na kueleweka sana na wanaume sasa sijui wanataka kusemaje labda. [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
No wonder wanawake wenzangu nikiwaambia kuhusu masuala ya avengers wananishangaa wanasema eti hizo movie hawazielewi. Haki ya nani mnanifanya nijione nina matatizo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mchaga [emoji23]
[emoji1787]Muha anataka kupigana?!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] basi siweki, nimeambiwa eti vitu ninavyovipenda mimi ni vile ambavyo vinapendwa na kueleweka sana na wanaume sasa sijui wanataka kusemaje labda. [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
No wonder wanawake wenzangu nikiwaambia kuhusu masuala ya avengers wananishangaa wanasema eti hizo movie hawazielewi. Haki ya nani mnanifanya nijione nina matatizo.
Msukuma pozi la kioga/heshima/nidhamu iliyotukuka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Marahabaaa! Hujambo?Msukuma pozi la kioga/heshima/nidhamu iliyotukuka
Jael mambo
Mwanakulitafuta...Mabinti katili nyinyi. Mnavyonifanyia siyo poa kabisa [emoji51][emoji51][emoji51]
Weeee Mzeee!!!!Guu guu wallahi dah [emoji91][emoji91][emoji91][emoji7][emoji7][emoji7]
Eti Migombani Milimani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe eeeh!?
Nakusanya notisi ili nije nikufanyie saikolojiko analisisi. Lazima nijue chimbuko la "ukatili" wako kwa watu wema kama mimi; na kama kuna lo lote linaloweza kufanyika. Watu wa migombani milimani siyo wakatili hivi wallahi [emoji16][emoji16][emoji16]
Tena makubwa[emoji2092][emoji2092][emoji2092][emoji2092][emoji2092][emoji2092]
Ila hayajazidi ya kwangu
Sent using Jamii Forums mobile app