Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Mbwa tangu aning'ate Sina hamu naye tena..Basi atakuwa alisamehe 7×70 akajua bosi alighafilika tu na moto wa sufuria.
Mi mapenzi yapo kwa mbwa kwa kweli licha ya kuwa zamani nilikuwa nawachukia maana kuna mmoja aliwahi kuning'ata nikiwa std2 ila baada ya kuwa mtu mzima aisee nimetokea kuwaelewa sana.
Yaani kuna kipindi nilinunua mpira maalumu wa kucheza na mbwa wangu basi ukichelewa kurudi akisikia harufu yako tu hizo fujo anaweza bomoa hadi banda ili mradi anata mcheze mpira.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwa nampenda Sana.. alikuwa akiniona anafurahi,namlisha vizuri.
Siku moja wakati namlisha wacha aniparuze mkono


Ni zamani sana..
Baadaye aliumwa akafa.
Sent using Jamii Forums mobile app


