Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Yeah mwenyewe ninayo hiyo, usijali nitakutumia.Nna uhakika hapo nzuri itakuwa ya Sean paul
Daah sasa hakuna kijiwe kingine ambacho umeweka kambi kwa sasa ?? Maana wengine nikiwakosa humu najua kuna vijiwe nitawakuta wapo wanapiga soga ila wewe hata kwingine sijawahi kupishana na wewe !!Nipo mkuu. Huwa nachungulia, nikikuta stori ni nyingi kuliko picha inabidi niache vibe iendelee.






Lini sasa 😀Yeah mwenyewe ninayo hiyo, usijali nitakutumia.
Daah usinikumbishe machungu jamani anne, nakumbuka hapo kauzi ndiyo kalikuwa na kama siku nne tu halafu kalikuwa kanakimbia balaa.
Mimi nipo nasoma huko juu.Daah usinikumbishe machungu jamani anne, nakumbuka hapo kauzi ndiyo kalikuwa na kama siku nne tu halafu kalikuwa kanakimbia balaa.
Daah I miss 'em days when we used to have fun in here, huu uzi ulikuwa moto kipindi cha october na november nikikumbuka natamani hata nirudishe siku nyuma.

Mimi nipo nasoma huko juu.
Hata siamini Kama Ni Mimi niliyekuwa napiga Domo vile
Sent using Jamii Forums mobile app



yaani hata mimi nilifunguka balaa, ningekuwa na uwezo ningerudisha siku nyuma ili turudi kwenye kile kipindi halafu pia nifute baadhi ya vitu nilivyovisema niwe sijavisema kabisa maana daah.AiseeeNaingia tena mjengoni kwa faida yako Na wengine wengi ambao hamkuwepo
Saint Anne amefika ndani ya mjengo
Depal
Khantwe
kapeace
Da'Vinci ukuje na picha kule
View attachment 1221024



Ila Wewe ulizidiyaani hata mimi nilifunguka balaa, ningekuwa na uwezo ningerudisha siku nyuma ili turudi kwenye kile kipindi halafu pia nifute baadhi ya vitu nilivyovisema niwe sijavisema kabisa maana daah.





Endelea kuringa tu wakati waoaji ndio sie



mwee kama ndiyo ninyi basi acha tu niendelee kuringa kwa kweliTatizo vyombo, nilikuwaga nikishapendeza nakuwa msumbufu humu hadi najishitukia.
Haha shwaini zakojuzi
Nakutumia sasa hivi mwaya utaikuta kuleHaha shwaini zako
Haya nasubiriNakutumia sasa hivi mwaya utaikuta kule