Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Me and my Nyau
IMG_20200423_192610_3.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kipindi nilikuwa na nyau, alikuwa anapenda Sana kukaa pembeni yangu.

Sasa siku moja nikawa nipo nakula huku nikisubiri maziwa yachemke motoni..akawa amekaa pembeni..
Yale maziwa yakachemka yakataka kufurumia juu..Mimi kuzuia kufurumia si nikajidai kuepua sufuria kwa mikono,likanishinda nikamfunika Yule paka
Paka alilia Kama kuku anayewika..


Sent using Jamii Forums mobile app
masikini jamani, kalikufa.
 
Kuna kipindi nilikuwa na nyau, alikuwa anapenda Sana kukaa pembeni yangu.

Sasa siku moja nikawa nipo nakula huku nikisubiri maziwa yachemke motoni..akawa amekaa pembeni..
Yale maziwa yakachemka yakataka kufurumia juu..Mimi kuzuia kufurumia si nikajidai kuepua sufuria kwa mikono,likanishinda nikamfunika Yule paka
Paka alilia Kama kuku anayewika..


Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha aisee we muuaji jamani sipati picha nyau alikimbilia wapi baada ya kuokoka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kipindi nilikuwa na nyau, alikuwa anapenda Sana kukaa pembeni yangu.

Sasa siku moja nikawa nipo nakula huku nikisubiri maziwa yachemke motoni..akawa amekaa pembeni..
Yale maziwa yakachemka yakataka kufurumia juu..Mimi kuzuia kufurumia si nikajidai kuepua sufuria kwa mikono,likanishinda nikamfunika Yule paka
Paka alilia Kama kuku anayewika..


Sent using Jamii Forums mobile app
Sema nyau vilaza sana mi siwakubali kivileee ht hicho chenyewe nilikiona kinatetemeka baada ya kuloana na mvua so kikaja kupata faraja ila isingekuwa hivyo aaah ningekiswagia mbali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alizunguka kule jikoni, akaenda store akarudi..
Yaani nilimuonea huruma sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Basi atakuwa alisamehe 7×70 akajua bosi alighafilika tu na moto wa sufuria.

Mi mapenzi yapo kwa mbwa kwa kweli licha ya kuwa zamani nilikuwa nawachukia maana kuna mmoja aliwahi kuning'ata nikiwa std2 ila baada ya kuwa mtu mzima aisee nimetokea kuwaelewa sana.

Yaani kuna kipindi nilinunua mpira maalumu wa kucheza na mbwa wangu basi ukichelewa kurudi akisikia harufu yako tu hizo fujo anaweza bomoa hadi banda ili mradi anata mcheze mpira.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom