Yeah....!huku ndio shida...Dar ni kiboko kwa mvua nilisoma advance Upanga ikinyesha tu ni balaa hapapitiki .
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko handwriting kama yangu jamani!Hahaha...
Kwa nini?
Acha kabisaa!
Hahaha...nilikuwa nataka usogee tu hapa...jambo wewe mjukuu wa mpwa ODM
Kweli, ule wako ni next level.
Nikikuwa mkubwa nataka kuandika kama wewe![]()
Kanizidi unundaUmenishinda tabia.








Oooh!! Huku kwetu nehiii, kumenuna tu.