Gunther Schwagermann
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 7,346
- 17,669
Kutoka moyoni kwangu kabisaaa.Yule dogo pembeni karibu na dogii mpe hata nusu kikombe cha juice anatia sana huruma.
Kutoka moyoni kwangu kabisaaa.Yule dogo pembeni karibu na dogii mpe hata nusu kikombe cha juice anatia sana huruma.
Au sio? Me ndio nikikupelekaga bar 😅😅😅
Dah! Unazoom asee... Nimeview hata sikumuona ila baada ya comment yako hii imebidi nirudi kuangalia vizuri.Kutoka moyoni kwangu kabisaaa.Yule dogo pembeni karibu na dogii mpe hata nusu kikombe cha juice anatia sana huruma.

aahh haujui kuwa kila mbuzi anakula kwa urefu wa kamba yake eti??
Raha si yako banah hahahahah bili juu yako
Kumbe mdogo wangu na wewe mkorofi haya ulimpasua nani😄😄😄
Yewooomi!!



Kifupi mdogo wangu kwa Sasa ujipange maana kwenye comment tukibishana nilikuwa naogopa najua pengine ni jibaba ila kwa sasa nakuchana live kumbe una sura soft hivyo😄😄😄🤣🤣🤣🤣🤣 mbona sura ngumu sana hio! Au unaiangalia kwa wasiwasi

sasa mbona mie na balimi ni kama pete na kidole hadi home wananiita mama balimi,, hiyo ni safari kubwa yakhe..
Nakutosaje jamani Kekundu, we namie ni kama sahani na kijiko daima pamoja .Ila hako ka Safari ndogo kenyewe tu ni shida! Balimi usiguse huko bia za ki hardcore sana..Waachie wamama wa shoka!
Kweli kabisamimi ni huyo mama hapo niko na mwanangu,, halafu wewe unapenda kuona za wenzio tu ila zako hautaki tuone haya nakuja kule tutumiane mkono kwa mkono..
Sent using Jamii Forums mobile app

Umenishinda tabia.
Kuna mtu anakuuzia
Ooooh poor TTCL!!
Voda ndio maana wana viburi.