Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,378
- 176,233
Hayo ndio maneno sasa, maana mwandiko wangu hata mimi kuna wakati unanishinda kusomaUsijali dada tutaanza mwanzo kabisa a,e hadi u


Hayo ndio maneno sasa, maana mwandiko wangu hata mimi kuna wakati unanishinda kusomaUsijali dada tutaanza mwanzo kabisa a,e hadi u


Hayo ndio maneno sasa, maana mwandiko wangu hata mimi kuna wakati unanishinda kusoma![]()





looh siyo kwa kuorodhesha huko utasema kweli,, tiketi ya treni ipo kaka wewe tu useme unataka kuenda wapi na lini..
Hivi mkwe hiyo a.k.a vipi










daah
Asante sana mwalimu, itabidi unishike mkono kabisa.
Wanangu kila siku huniletea kesi za kuibiwa madaftari. Sasa nikawaambia mie sikuwahi kuibiwa daftari(kama ujuavyo mzazi ni perfect siku zote)
Wakaniambia "mwalimu tatizo litakuwa mwandiko labda" watoto wa siku hizi hawana adabu kabisa.
Njoo Kiegea mkwe.Miyeyusho tu, mji umejengwa hovyo na hakuna hatua za dharura zinazofanywa...
Fanya kamchakatu tu mama uokoe jahazi.
Manunda wenzio, wanaunangaje mwandiko wa mwalimu kwamfano





weee mi sikuwahi kuwa nunda shuleni nilikuwa mpole kama Jael,, 


lol
Manunda wenzio, wanaunangaje mwandiko wa mwalimu kwamfano![]()
weee mi sikuwahi kuwa nunda shuleni nilikuwa mpole kama Jael,,
lol
Sent using Jamii Forums mobile app



sijawahi kuwa monitress mimi mbona,, nilikuwa mpole mno hata kwa list ya noise makers sikuwahi appear.. 


Sasa mbona ulipewa umontresi kama ulikuwa mpole