Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahahah...yaani mwandiko tu ndio upate mchuchu? au jamaa alikuwa na mbwembwe za ziada kuchora makopa yenye kuchomwa na mikuki/mishale...

By the way hata huwa sina mwandiko mmoja...
We jamaa ulisoma science nini...

Kuna jamaa yangu alikuwa na mwandiko mzuri kama huu akang'oa dem mkali saana secondry

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Ukitaka kuandika kama mimi uje nikuelekeze
Asante sana mwalimu, itabidi unishike mkono kabisa.

Wanangu kila siku huniletea kesi za kuibiwa madaftari. Sasa nikawaambia mie sikuwahi kuibiwa daftari(kama ujuavyo mzazi ni perfect siku zote)
Wakaniambia "mwalimu tatizo litakuwa mwandiko labda" watoto wa siku hizi hawana adabu kabisa.
 
Watoto... Wamebeba watoto...
IMG-20191217-WA0106.jpeg


Jr
 
Asante sana mwalimu, itabidi unishike mkono kabisa.

Wanangu kila siku huniletea kesi za kuibiwa madaftari. Sasa nikawaambia mie sikuwahi kuibiwa daftari(kama ujuavyo mzazi ni perfect siku zote)
Wakaniambia "mwalimu tatizo litakuwa mwandiko labda" watoto wa siku hizi hawana adabu kabisa.

Eti nikushike mkono😂😂
 
Back
Top Bottom