Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,672
- 50,991
Ohhh okey nilijua kijana wa dar kwa hayo mapigo, kumbe wa nyumbani weweThis is Arusha
Ohhh okey nilijua kijana wa dar kwa hayo mapigo, kumbe wa nyumbani weweThis is Arusha
Pole Dadake,issue ya Gari si unawapa ya kusafisha viatu mnamalizana tu,basi we utakuwa mbishi tu in necha.
Ohhh okey nilijua kijana wa dar kwa hayo mapigo, kumbe wa nyumbani wewe
😀😀😀😀Ndiyo zangu hadi kidimpo chako nilikizoom.
vivian ni mdaiwa sugu kwenye list bad debtor
Mimi ninaye mmoja ananisumbua alikuwa anachukua kwa ujanja ila sasa kazidisha najua nina mpango nitafute mwengine muaminifu kiasi.
Kumbe Dar wana mapigo yao ehOhhh okey nilijua kijana wa dar kwa hayo mapigo, kumbe wa nyumbani wewe
Vijana wa dar wana swaga zaoKumbe Dar wana mapigo yao eh
Kibo palace hotel 🤔Hapa wapi?View attachment 1294988



staki shari tena???siku za nyuma nishawahi kukaa selo kwa masaa 5, sitasahau ile experience, nikaja nikakaa tena one hour mimi nikisikia unanitafuta na polisi i lay low huku tunamaliza tofauti zetu 


Upo sahihiKibo palace hotel![]()