Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Gen z Gani sasa? Nilishamuweka kwa Gen z mmoja humu kabinti kadogo dogo kabisa kanaitwa miss eyez, ila wakashindwana.

Baada ya muda nikaona anaimendea mishangazi humu akawa anamtaka antonia, mara fake p, mara lamomy, mara tayana wog, yaani akawa haeleweki, mara akataka kuhamia upande wa pili(ule wa kina coca). Hapo ndio nilipoona huyu dogo sasa anaenda siko, ndio nikaamua atulie hapo kwako.

Naomba umvumilie nitaongea nae Leo kiutu uzima nijue tatizo
Aanh mi nishapata mwingine huku naishi nae! Nalea kijusi saa hizi, mtafutie mwingine tu๐Ÿ˜†
 
IMG_0543.jpeg
 
Gen z Gani sasa? Nilishamuweka kwa Gen z mmoja humu kabinti kadogo dogo kabisa kanaitwa miss eyez, ila wakashindwana.

Baada ya muda nikaona anaimendea mishangazi humu akawa anamtaka antonia, mara fake p, mara lamomy, mara tayana wog, yaani akawa haeleweki, mara akataka kuhamia upande wa pili(ule wa kina coca). Hapo ndio nilipoona huyu dogo sasa anaenda siko, ndio nikaamua atulie hapo kwako.

Naomba umvumilie nitaongea nae Leo kiutu uzima nijue tatizo
cocastic pisi kali.
 
Nawaonea hadi huruma kwenda kuwachefua, naona kama vile NAMSIMANGA YATIMA ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ
Jana nimekesha kuwachefua kwenye uzi wao mpaka nimechelewa kuamka na dada kasafiri na nyumba chafuโ€ฆ!!

Hapa nawaza nianze na kazi ipi? ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
Kuna vyombo vichafu nilijishaua kujipikilisha vinanitazama wohiii..!!
 
Gen z Gani sasa? Nilishamuweka kwa Gen z mmoja humu kabinti kadogo dogo kabisa kanaitwa miss eyez, ila wakashindwana.

Baada ya muda nikaona anaimendea mishangazi humu akawa anamtaka antonia, mara fake p, mara lamomy, mara tayana wog, yaani akawa haeleweki, mara akataka kuhamia upande wa pili(ule wa kina coca). Hapo ndio nilipoona huyu dogo sasa anaenda siko, ndio nikaamua atulie hapo kwako.

Naomba umvumilie nitaongea nae Leo kiutu uzima nijue tatizo
Dah mzee kwa miss eyes ulinifanyia roho mbaya sana ๐Ÿ˜ฌ yule ndo alikua love of my life ๐Ÿ˜๐Ÿƒ๐Ÿฝโ€โ™‚๏ธ
 
Back
Top Bottom