Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,542
- 34,317
Dooh, sijui ntalalaje sasa๐๐๐๐ sina hata moja
Dooh, sijui ntalalaje sasa๐๐๐๐ sina hata moja
Polee sana lala tu kama siku nyingineDooh, sijui ntalalaje sasa
Nawaonea hadi huruma kwenda kuwachefua, naona kama vile NAMSIMANGA YATIMA ๐๐คฃNipo hapa natizima na mimi..!!
Ngoja nije kwenye uzi wao tuwachefue ๐น
Aanh mi nishapata mwingine huku naishi nae! Nalea kijusi saa hizi, mtafutie mwingine tu๐Gen z Gani sasa? Nilishamuweka kwa Gen z mmoja humu kabinti kadogo dogo kabisa kanaitwa miss eyez, ila wakashindwana.
Baada ya muda nikaona anaimendea mishangazi humu akawa anamtaka antonia, mara fake p, mara lamomy, mara tayana wog, yaani akawa haeleweki, mara akataka kuhamia upande wa pili(ule wa kina coca). Hapo ndio nilipoona huyu dogo sasa anaenda siko, ndio nikaamua atulie hapo kwako.
Naomba umvumilie nitaongea nae Leo kiutu uzima nijue tatizo
Umemalizaa๐๐ฝ๐๐ฝUkiona mtu anakukalia kooni ujue una kitu na anateseka sana . Iwe kwa kukutungia skendo au vinginevyo
We chino mi ni mzee wa kanisa huku staki skendo niache๐We nyau wewe!!
Ila we dydyaaa unajaza raia sumu ujue๐๐ซด๐พNa amebarikiwa sio kidogo toto black blacky mashallaaahhh lips jicho aaaaww!!
Nyoko wewe๐Na haitokuja!! Hahaha record zinanilinda. Bora umeliambia
cocastic pisi kali.Gen z Gani sasa? Nilishamuweka kwa Gen z mmoja humu kabinti kadogo dogo kabisa kanaitwa miss eyez, ila wakashindwana.
Baada ya muda nikaona anaimendea mishangazi humu akawa anamtaka antonia, mara fake p, mara lamomy, mara tayana wog, yaani akawa haeleweki, mara akataka kuhamia upande wa pili(ule wa kina coca). Hapo ndio nilipoona huyu dogo sasa anaenda siko, ndio nikaamua atulie hapo kwako.
Naomba umvumilie nitaongea nae Leo kiutu uzima nijue tatizo
Jana nimekesha kuwachefua kwenye uzi wao mpaka nimechelewa kuamka na dada kasafiri na nyumba chafuโฆ!!Nawaonea hadi huruma kwenda kuwachefua, naona kama vile NAMSIMANGA YATIMA ๐๐คฃ
Usimfanyie hivo mnywani sera.We chino mi ni mzee wa kanisa huku staki skendo niache๐
1000%.Una uhakika?? ๐๐๐
Dah mzee kwa miss eyes ulinifanyia roho mbaya sana ๐ฌ yule ndo alikua love of my life ๐๐๐ฝโโ๏ธGen z Gani sasa? Nilishamuweka kwa Gen z mmoja humu kabinti kadogo dogo kabisa kanaitwa miss eyez, ila wakashindwana.
Baada ya muda nikaona anaimendea mishangazi humu akawa anamtaka antonia, mara fake p, mara lamomy, mara tayana wog, yaani akawa haeleweki, mara akataka kuhamia upande wa pili(ule wa kina coca). Hapo ndio nilipoona huyu dogo sasa anaenda siko, ndio nikaamua atulie hapo kwako.
Naomba umvumilie nitaongea nae Leo kiutu uzima nijue tatizo