Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi niogope na nilikuwa katikati yao mpaka yakayamwagwa ya kuyamwagwa UMENISAHAU 😹😹😹

Wote wananijua vizuri siwaogopi..

Sema nini muungano wa wachawi haujawahi kudumu..!!

Mtoa idea ya uchonganishi hajaamini macho yake alivyokwapuliwa bwana 😹😹

Mimi na Antonia tupo sana ugomvi wetu ulisukwa na haukuwa wa mboo za kugombania za mafungu..
Miongozo kanikuza sana siunajua yee hata umtukane vipi ukimuongelesha anakujibu kirohosafi tu Maisha mafupi haya kukaa na mavinyongo yasiyo na kichwa wala maskio
 
alafu mna match balaaa
Hilo halina ubishi ndiomana wakatuvuruga ili wapate upenyo wa kumdhalilisha asipate mtetezi..!!

Si unakumbuka shengesha tulomfanyia babu miga mpaka akarusha taulo..!! 😹😹😹

Roho iliniuma nilichelewa kuusoma mchezo.
 
Mie natumia nokia 1100, yeye anatumia 3310..
Yaani anatumia simu mara 3 ya kwangu chukua 3310 gawa kwa 1100 😂🤣
Khaaaaaa..!! Maka acha ujinga unafanya nacheka km chizi..!! 😹😹😹

Halafu home niko peke yangu leo basi najitisha mwenyewe na hili base..!! 😹
 
Hilo halina ubishi ndiomana wakatuvuruga ili wapate upenyo wa kumdhalilisha asipate mtetezi..!!

Si unakumbuka shengesha tulomfanyia babu miga mpaka akarusha taulo..!! 😹😹😹

Roho iliniuma nilichelewa kuusoma mchezo.
Combo hii parfect sana ni kama libasegeye na aura!! Uzuri wote ni wazee wa kuflash vitu.

Mi mwenyewe na jivunia kua na bodyguard kama wewe pembeni
 
Sauwaasauwaa.

Hebu leo tubless basi Cantri ake Lamo tunaharibu uzi kupiga blah blah ujue!
Naangalia marudio ya world cup nikisubiri mechi ya Chelsea
Funny-20260918_215006.jpg
 
Back
Top Bottom