Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 74,828
- 184,396
Miongozo kanikuza sana siunajua yee hata umtukane vipi ukimuongelesha anakujibu kirohosafi tu Maisha mafupi haya kukaa na mavinyongo yasiyo na kichwa wala maskioMimi niogope na nilikuwa katikati yao mpaka yakayamwagwa ya kuyamwagwa UMENISAHAU 😹😹😹
Wote wananijua vizuri siwaogopi..
Sema nini muungano wa wachawi haujawahi kudumu..!!
Mtoa idea ya uchonganishi hajaamini macho yake alivyokwapuliwa bwana 😹😹
Mimi na Antonia tupo sana ugomvi wetu ulisukwa na haukuwa wa mboo za kugombania za mafungu..