Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wog ana moyo mdogo hajazoea skendo mamchu wawatu inaonekana ameumia sana
๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
Ana moyo mdogo sana, halafu mtu anayemuumiza kichwa eti miga ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

Nimemwambia achana naye yule kichaa mwenzio..! Halafu kumbe yupo ana id mpya inajiachia kwa raha zake humu..!! ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

Bila yeye kunisanua nisingemjua ๐Ÿ˜น
 
Umefika ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

Mi naona wog anatishia nyau.

Nimemwambia anitajie waliyenijadili na babu miga anaruka ruka..!! Nataka nimuanzishie shuhuli ili amalize..!!
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ JF ina vituko, heka heka mwaa mwiii.
 
๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
Ana moyo mdogo sana, halafu mtu anayemuumiza kichwa eti miga ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

Nimemwambia achana naye yule kichaa mwenzio..! Halafu kumbe yupo ana id mpya inajiachia kwa raha zake humu..!! ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

Bila yeye kunisanua nisingemjua ๐Ÿ˜น
Wog mpole kama tinslay.
 
Mimi hua sio snitch! Hua nalinda kile kilichopo baina yetu.( Kama hutujawahi vunjiana heshima why nisikilize watu wanasema nini. Ndiomana nikasema huyu Mahondaw dunia nzima ya jf imemgeuka ila Mimi naheshimu kile kilichopo baina yetu same apply to you siwezi kukugeuka.

Ukiwa mwanaume na hauna msimamo jua Kuna shida.
Chino hii nimeipenda, kwa kweli.
 
๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
Ana moyo mdogo sana, halafu mtu anayemuumiza kichwa eti miga ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

Nimemwambia achana naye yule kichaa mwenzio..! Halafu kumbe yupo ana id mpya inajiachia kwa raha zake humu..!! ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

Bila yeye kunisanua nisingemjua ๐Ÿ˜น
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Back
Top Bottom